Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Sisiyemu imeshindwa kutatua matatizo mepesi kabisa ya wananchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikatazwa na nani au uandishi wa habari una mipaka?Hawa ITV walikatazwa kuandika taarifa za mauaji ya Wakulima na Wafugaji. Naona wamejisahau tena
Tena kwa Diwani tatizo ni kubwa.Wote na Diwani Athumani hadi sasa nawapa 45% kwenye utendaji wote wawili ni vyema wakajitathimini.
Diwani ni kikwazo sana awamu yake kuna vifo vingi sana vimetokea na kesi za kubambikia watu, kwa kuwa alikuwa ni POLISI hapo kabla ni vyema mama akamrudisha huko POLISI huwenda akalimudu vyema jeshi letu la POLISI.Tena kwa Diwani tatizo ni kubwa.
Hizi mambo zinahitaji moyo wa chuma.Diwani ni kikwazo sana awamu yake kuna vifo vingi sana vimetokea na kesi za kubambikia watu, kwa kuwa alikuwa ni POLISI hapo kabla ni vyema mama akamrudisha huko POLISI huwenda akalimudu vyema jeshi letu la POLISI.
Huku kwenye intellijensia naona bado viatu havijamtosha bado, simsemi kwa mabaya ila nahisi bado ni mgeni kwenye mfumo wa intellijensia..
Punguza jazba Mkuu!Heshima ipi aliyonayo huyo mzee na mimacho yake mikubwa? Hajawahi kuwa na heshima yoyote ni IGP wa hovyo sana aliyewahi kutokea.
He should just go to hell maana jeshi limemshinda kuongoza.
Analeta sana huyo mimachoPunguza jazba Mkuu!
Tatizo lilianza kwa JPM kwa kukabidhi watu idara pasipo kufanya briefiening ya maana ni ngumu sana kukabidhi idara kwa mtu aliyekulia nje ya idara.Hizi mambo zinahitaji moyo wa chuma.
intelligence yetu imeyumba pakubwa kiasi. hadi tukampoteza kiongozi wetu mpendwa.Tatizo lilianza kwa JPM kwa kukabidhi watu idara pasipo kufanya briefiening ya maana ni ngumu sana kukabidhi idara kwa mtu aliyekulia nje ya idara...
Mwamba kwa hiyo wewe unatumacho tudogoHeshima ipi aliyonayo huyo mzee na mimacho yake mikubwa? Hajawahi kuwa na heshima yoyote ni IGP wa hovyo sana aliyewahi kutokea.
He should just go to hell maana jeshi limemshinda kuongoza.
Vipi wewe nawe macho yako makubwa mkuu?Mwamba kwa hiyo wewe unatumacho tudogo
Aisee [emoji23][emoji23][emoji23]Sasa maza afanye mabadiliko kwenye kundi la wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalams. Aweke wakina mama au wazenji
Mi yangu ya Kabudi cha mtoto linatoka linarudi. We tumacho twako tudogo kama twawachina? Mpaka unaona ya IGP makubwa kuliko yako?Vipi wewe nawe macho yako makubwa mkuu?