Kilindi, Tanga: Watu watano wauawa kwenye mapigano ya Wakulima na Wafugaji

Kilindi, Tanga: Watu watano wauawa kwenye mapigano ya Wakulima na Wafugaji

Mwacheni akiachia hiki cheo anajua hatakuwa lolote
 
Sasa maza afanye mabadiliko kwenye kundi la wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalams. Aweke wakina mama au wazenji
 
Tena kwa Diwani tatizo ni kubwa.
Diwani ni kikwazo sana awamu yake kuna vifo vingi sana vimetokea na kesi za kubambikia watu, kwa kuwa alikuwa ni POLISI hapo kabla ni vyema mama akamrudisha huko POLISI huwenda akalimudu vyema jeshi letu la POLISI.

Huku kwenye intellijensia naona bado viatu havijamtosha bado, simsemi kwa mabaya ila nahisi bado ni mgeni kwenye mfumo wa intellijensia..
 
Diwani ni kikwazo sana awamu yake kuna vifo vingi sana vimetokea na kesi za kubambikia watu, kwa kuwa alikuwa ni POLISI hapo kabla ni vyema mama akamrudisha huko POLISI huwenda akalimudu vyema jeshi letu la POLISI.

Huku kwenye intellijensia naona bado viatu havijamtosha bado, simsemi kwa mabaya ila nahisi bado ni mgeni kwenye mfumo wa intellijensia..
Hizi mambo zinahitaji moyo wa chuma.
 
Hizi mambo zinahitaji moyo wa chuma.
Tatizo lilianza kwa JPM kwa kukabidhi watu idara pasipo kufanya briefiening ya maana ni ngumu sana kukabidhi idara kwa mtu aliyekulia nje ya idara.

Wote tuliona kwa kipilimba mambo yalivyokuwa, huyu pia ndugu yangu DIWANI si zao la idara kakulia nje pia tunaona mambo yalivyokuwa actual kwa kipindi hiki cha miaka mitano intelligence yetu imeyumba pakubwa kiasi.

Kuepuka madhara zaidi ni vyema mama akateua mtu aliyekulia ndani ya Idara na kumpa ukurugenzi mkuu kidogo na imani mambo yatarekebishiks.

DIwani bado umri wa kustaafu ni vyema akahamishiwa polisi maana SIRRO ndio kazeeka hata umakini kazini haupo tena
 
Heshima ipi aliyonayo huyo mzee na mimacho yake mikubwa? Hajawahi kuwa na heshima yoyote ni IGP wa hovyo sana aliyewahi kutokea.

He should just go to hell maana jeshi limemshinda kuongoza.
Mwamba kwa hiyo wewe unatumacho tudogo
 
Vipi wewe nawe macho yako makubwa mkuu?
Mi yangu ya Kabudi cha mtoto linatoka linarudi. We tumacho twako tudogo kama twawachina? Mpaka unaona ya IGP makubwa kuliko yako?
 
Back
Top Bottom