Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Ndio maana nyama inapanda bei kila siku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu mpuuzi mmoja atatoka huko atakwambia hii nchi imejaa watu waoga kwa kivuli cha kutunza amani. Watanzania ni wakatili lakini huwezi kujua hadi pale mtaani kwenu kibaka akikamatwa.Mkuu wa wilaya ya Kilindi, Abel ameongoza kamati ya ulinzi na usalama wilayani kusaka miili ya marehemu waliouawa katika mapigano ya Wakulima na Wafugaji wilayani Kilindi.
Tayari miili mitano imeshapatikana na polisi wameweka ulinzi mkali.
View attachment 2101608
Chanzo: ITV habari
=====
Watu watano akiwemo mtoto wameuawa baada ya kufuatia mapigano baina ya wakulima na wafugaji katika kijiji cha Elerai kilichopo wilayani Kilindi mkoani Tanga ambapo Mkuu wa Wilaya hiyo amefika katika eneo la tukio na kuzitaka pande zote mbili kusitisha mapigano hayo wakati serikali ikitafuta suluhu ya jambo hilo.
----
Watu watano wamefariki dunia kwa kupigwa risasi na kukatwa mapanga huku wengine watatu wakijeruhiwa kufuatia mapigano ya wakulima na wafugaji yaliotokea Wilayani Kilindi mkoani Tanga katika kijiji cha Kibirashi na Elerai.
Wakielezea chanzo cha mapigano hayo mashuhuda wa tukio hilo wamesema ni mgogoro wa ardhi uliopo kati ya wakulima na wafugaji wa vijiji hivyo ambao vuguvugu zake zilianza muda mrefu bila kupata ufumbuzi wa kudumu, ambapo leo Januari 30 ndio ikatoa tukio la mapigano katiya pande hizo mbili.
Mkulima Richard Masaki amesema waliona vijana jamii ya kimasai wakiingia katika eneo lao na kuanza kuwashambulia, kwa kuwapiga na baadae yakaanza mapigano ya mapanga na risasi hadi kutokea vifo hivyo.
Aidha mfugaji David Kimaki amesema ampoteza mjukuu wake Betina ambae ameuwawa kwa kukatwa na Panga katika shambulio hilo.
"Tulivyopita mbele kidogo tukashambuliwa kwa risasi, nikajua ni wale wale watu nikachukua hatua nikampigia OCD kumpa taarifa kwamba huku kuna mauaji mengine, tukaongozana na kuona miili mingine zaidi", amesema Kimaki.
Mkuu wa wilaya ya Kilindi Abel Busalama akiwa eneo la tukio licha ya kuongoza zoezi la kukusanya miili ya marehemu amesema watu watano wamefariki dunia na watutu kujeruhiwa, kutokana na tukio hilo.
Aidha amezitaka pande zote mbili kusitisha mapigano na kusalimisha silaha zao ili utatuzi wa mgogoro huo ufanyike kwa njia ya amani kwani njia wanayotumiwa hawawezi kupata utatuzi.
"Wito ninaotoa kwa pande zote mbili zinazozingamana hapa ni kuacha mapigano haya haraka, kwani mapigano haya hayawezi kusaidia katika kutafuta ufumbuzi na waweke silaha zao chini", amesema DC Busalama.
Tatizo linaanza kwa Amri jeshi MKuu yupo anasikiliza Taarabu tu.Heshima ipi aliyonayo huyo mzee na mimacho yake mikubwa? Hajawahi kuwa na heshima yoyote ni IGP wa hovyo sana aliyewahi kutokea.
He should just go to hell maana jeshi limemshinda kuongoza.
Wafugaji ni wakorofi sana
Wanasubiri yatokee maafa ndipo wanaweka ulinzi mkali ili iweje, where were they before? Ina maana intelligency yao inanusa vyama vya siasa tu?Mkuu wa wilaya ya Kilindi, Abel ameongoza kamati ya ulinzi na usalama wilayani kusaka miili ya marehemu waliouawa katika mapigano ya Wakulima na Wafugaji wilayani Kilindi.
Tayari miili mitano imeshapatikana na polisi wameweka ulinzi mkali.
Stafu nakwambia huwezi kazi ooohhh.
Hizi taarifa wameziandika lakini hawaja kuzungumzia kuhusu chanzo cha mauwaji. Hawajesema kuhusu Katibu Tawala Wilaya, Afisa Mifugo Wilaya na Afisa mmoja mwingine kuwa na mgongano wa maslahi Kibirashi na hasa katika eneo la Chokaa.Mkuu wa wilaya ya Kilindi, Abel ameongoza kamati ya ulinzi na usalama wilayani kusaka miili ya marehemu waliouawa katika mapigano ya Wakulima na Wafugaji wilayani Kilindi.
Tayari miili mitano imeshapatikana na polisi wameweka ulinzi mkali.
View attachment 2101608
Chanzo: ITV habari
=====
Watu watano akiwemo mtoto wameuawa baada ya kufuatia mapigano baina ya wakulima na wafugaji katika kijiji cha Elerai kilichopo wilayani Kilindi mkoani Tanga ambapo Mkuu wa Wilaya hiyo amefika katika eneo la tukio na kuzitaka pande zote mbili kusitisha mapigano hayo wakati serikali ikitafuta suluhu ya jambo hilo.
----
Watu watano wamefariki dunia kwa kupigwa risasi na kukatwa mapanga huku wengine watatu wakijeruhiwa kufuatia mapigano ya wakulima na wafugaji yaliotokea Wilayani Kilindi mkoani Tanga katika kijiji cha Kibirashi na Elerai.
Wakielezea chanzo cha mapigano hayo mashuhuda wa tukio hilo wamesema ni mgogoro wa ardhi uliopo kati ya wakulima na wafugaji wa vijiji hivyo ambao vuguvugu zake zilianza muda mrefu bila kupata ufumbuzi wa kudumu, ambapo leo Januari 30 ndio ikatoa tukio la mapigano katiya pande hizo mbili.
Mkulima Richard Masaki amesema waliona vijana jamii ya kimasai wakiingia katika eneo lao na kuanza kuwashambulia, kwa kuwapiga na baadae yakaanza mapigano ya mapanga na risasi hadi kutokea vifo hivyo.
Aidha mfugaji David Kimaki amesema ampoteza mjukuu wake Betina ambae ameuwawa kwa kukatwa na Panga katika shambulio hilo.
"Tulivyopita mbele kidogo tukashambuliwa kwa risasi, nikajua ni wale wale watu nikachukua hatua nikampigia OCD kumpa taarifa kwamba huku kuna mauaji mengine, tukaongozana na kuona miili mingine zaidi", amesema Kimaki.
Mkuu wa wilaya ya Kilindi Abel Busalama akiwa eneo la tukio licha ya kuongoza zoezi la kukusanya miili ya marehemu amesema watu watano wamefariki dunia na watutu kujeruhiwa, kutokana na tukio hilo.
Aidha amezitaka pande zote mbili kusitisha mapigano na kusalimisha silaha zao ili utatuzi wa mgogoro huo ufanyike kwa njia ya amani kwani njia wanayotumiwa hawawezi kupata utatuzi.
"Wito ninaotoa kwa pande zote mbili zinazozingamana hapa ni kuacha mapigano haya haraka, kwani mapigano haya hayawezi kusaidia katika kutafuta ufumbuzi na waweke silaha zao chini", amesema DC Busalama.