Kilinge cha DJ sepetu!

Kuna msera mmoja hivi alikuwa anapita mitaa ya uzunguni kwa wajua akaona bongo la mdada
Kamuomba namba ya simu mdada akachukua note ya elfu kumi akaandika namba na kumpa!

Msera akachukua ile hela akaikata ile sehemu yenye namba na kumrudishia hela yake!

Nani kauzu zaidi!
 
[emoji706][emoji706][emoji706]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…