Kilio cha msanii Wastara: Bongo movie mnatia aibu

Kilio cha msanii Wastara: Bongo movie mnatia aibu

Huyu dada haumwi serious wala nn. Sema shida yake kubwa kachoka anahitaji hela alizoingia mkataba na wachina wa simu alipwe sababu anaona kaibiwa. Sasa ili kujenga hoja akaona ajazie na mada ya kuumwa ili aweke mkazo. Muhimbili kwa ugonjwa anaoumwa tiba imeshapatikana. Operation aliyofanyiwa inamuhitaji alale masaa maalum aliyopewa na Dr. Sasa yy akitaka kudanga ajue lazima mgongo umuume tu,
 
Huyu Dada kama kuna mtu alimroga NAMUOMBA AMSAMEHE kashajifunza, huwa anateseka sana, mwenye uwezo AMSAIDIE
 
Arudi kwa sadifa kiroo safi, siku zote mbio za sakafuni zinaishia ukingon
 
Sasa yeye anajijua ana mguu mbovu halafu anapenda kutomboka na vijana wadogo wanapenda kuunyanyua mguu hadi shingoni au kudandia dirisha ,hivi hapo mguu utapona vunjika?
 
WASTARA1.jpg
mama ongea na mwanao

Awafate Ccm aliwapigia Kampeni 2015
 
AMINI KUNA WAHITAJI WAKUBWA WA MSAADA , LAKINI SIO HUYU
 
Maskini Wastara yeye haishiwi matatzo amrudie mungu yeye ni mtoto wa kiislam na mungu atamsamehe over
 
Wakati anachuna waume za watu pesa zao mbona hakutoa waraka watu waje kula pesa zake
 
Habari zenu ndugu zangu Watanzania,

Jana nilibahatika kutazama kipindi kinaitwa Shilawadu, na mwishoni yule mtangazaji akasoma makala iliyoandikwa na Wastara, waraka ule unatia huruma sana na ndani yake unaonyesha kusalitiwa na kutelekezwa mbali na wasanii wenzie wa Bongo movies.

Inaonyesha huyo dada alifiwa na mumewe Sajuki muigizaji, alafu na yeye kwa sasa anaumwa sana na anahitaji msaada kiasi cha kumuangukia Mh. Rais na Makamu wa Rais Mama Samia asipate msaada. Jambo lilinisikitisha ni kukosa msaada kutoka kwa hawa Bongo movies wenzake.

Je? Hakuna chama chao, viongozi wao ambao wanawafuatilia wenzao?
Wasanii wa Bongo Movies amkeni hii Tanzania nyie ndio wasanii na hiyo industry inawahusu ninyi.

NB: Naomba mwenye mawasiliano ya Wastara anipatie hapa. Pia kama kuna mtu wa karibu amshauri Wastara apate msaada wa kiroho pia Mara nyingi kwa matatizo ya watu husababishwa na mapepo.
Kwani hakutunza pesa aliyokuwa anapata kwenye uigizaji wake??

Wakiwa wanaigiza hujiona wamemaliza ulimwengu, hata ukikutana naye ukamsalimu kama ana mwenzake utasikia akimwambia "ananishobokea huyo"
 
Shezea mdonge weye?
Katika tiba yake akumbuke na kuomba " msamaha "..tena wa ngingo hasa!
Au atacheza kinyantindinya..unyago wa nyani kibwebwe mkia!
 
Washanza kumpigia promo ya mchango,Huyu dada anaongoza Kwa kuchangiwa Itakuwa style hiyo ya kujipatia kipato

Ova
 
Back
Top Bottom