Kilio cha Tigray: Jamii ya Kimataifa chukueni hatua

Kilio cha Tigray: Jamii ya Kimataifa chukueni hatua

Kindeena

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2017
Posts
11,462
Reaction score
21,124
Kumekuwa na kilio cha muda mrefu cha kuzorota kwa hali ya kibinadamu huko Tigray, Kaskazini mwa Ethiopia.

Hali ya vita inasemekana kusababisha vifo, njaa na hata miundombinu msingi kama umeme, barabara na majengo.

Kwa hali inayoripotiwa na viongozi wa Tigray, Jamii ya Kimataifa haijachukua hatua za kutosha kumaliza tatizo.

Watigray wanalalamika kubaguliwa, kuonewa na kutengwa na utawala wa Ethiopia kwa sababu ya asili yao.

Wanalituhumu Taifa la Eritrea kuungana na Ethiopia dhidi ya Tigray.

1644559185629.jpg
 
Walipo kuwa wanavamia majimbo ya watu na kujigamba kwamba wanakwenda kuchukua mjii mkuu waliona sawa Sasa Mambo yamekwenda kombo wanataka huruma ya kitaifa ,waziri mkuu hakikisha una maliza kabisa ujinga wa kundi fulani katika nchi kujiona bora kuliko wengine
 
Back
Top Bottom