Kwakuwa Rais hana mamlaka ya kumtengua huyo rectified psycho na kwakuwa bunge limejaa matakataka ya ccm basi huyu tunamuombea Mungu tu atajua chakufanya.
Ila Raisi ni mwenyekiti wa chama, akiamua kuanzia huko chamani basi spika hatoboi...anamfuta uanachama, hapo hapo anakosa sifa ya kuwa mbunge na hawezi kuwa spika tenaBasi ukiwa kiazi kaa kwa kutulia.
Bunge ni mhimili. Spika hateuliwi na Rais.
Vilio vya Watanzania vikizidi afanye kuondoa sababu ya vilio.Kwahiyo Mungu amchukue?
Mwambie Mama ako aingie kuliko kuhangaika humu na jinsia za watu.Badili jinsia basi ili wale 19 wakifukuzwa uingie ww
CCM imejaa wapumbavu km akina Sabaya na Ndungai.Hujui mihimili inafanya vipi kazi, Spika haingiliwi, bado huelewi, hivi nyie watu akili zenu shule mlisoma wapi? Unamlinganisha level ya Spika na DC? Kweli? Ndio maana Chadema imejaa mazezeta wengi sana, Hivi unamjua Spika vizuri na ni mhimili gani?
Mwambie Mama ako aingie kuliko kuhangaika humu na jinsia za watu.
Kama ya Kangi Lugola, Sabaya na MakondaNgoma ikilia sana hupasuka.