mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Kwa wanyamwezi, Kilio cha "mayu noyaga" ni cha "mama nimekoma".
Hicho ndicho kilio kinachowasubiri Yanga watakapokutana na Medeama hapo kesho!
Medeama ni kitimu ambacho hakipo hata kwenye ramani ya soka la Afrika lakini kwa yanga ni mlima mrefu usiopandika!
Tuliwaambia michuano ya losers imesababisha wawe overated!!
Ona sasa watakavyoadhirika!!
Hicho ndicho kilio kinachowasubiri Yanga watakapokutana na Medeama hapo kesho!
Medeama ni kitimu ambacho hakipo hata kwenye ramani ya soka la Afrika lakini kwa yanga ni mlima mrefu usiopandika!
Tuliwaambia michuano ya losers imesababisha wawe overated!!
Ona sasa watakavyoadhirika!!