mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Pole sana ndugu kwa mateso unayopitia. Malengo ya Yanga msimu huu yalikuwa ni kufikia hatua ya makundi.Kwa wanyamwezi, Kilio cha "mayu noyaga" ni cha "mama nimekoma".
Hicho ndicho kilio kinachowasubiri Yanga watakapokutana na Medeama hapo kesho!
Medeama ni kitimu ambacho hakipo hata kwenye ramani ya soka la Afrika lakini kwa yanga ni mlima mrefu usiopandika!
Tuliwaambia michuano ya losers imesababisha wawe overated!!
Ona sasa watakavyoadhirika!!
Waambie wanaojua soka siyo huyu kakàkuona.Never say never...
Kabisa na yameshatimia .....Pole sana ndugu kwa mateso unayopitia. Malengo ya Yanga msimu huu yalikuwa ni kufikia hatua ya makundi.
ukiachana na utoto ujinga nao raha...Kwa wanyamwezi, Kilio cha "mayu noyaga" ni cha "mama nimekoma".
Hicho ndicho kilio kinachowasubiri Yanga watakapokutana na Medeama hapo kesho!
Medeama ni kitimu ambacho hakipo hata kwenye ramani ya soka la Afrika lakini kwa yanga ni mlima mrefu usiopandika!
Tuliwaambia michuano ya losers imesababisha wawe overated!!
Ona sasa watakavyoadhirika!!
Ni malengo ya kichovu ile mbaya!!Pole sana ndugu kwa mateso unayopitia. Malengo ya Yanga msimu huu yalikuwa ni kufikia hatua ya makundi.
Subiri kilio cha "mayu noyaga!!"ukiachana na utoto ujinga nao raha...
Acha kusaga kunguni mkuu.Nalia Ngwena karibu huku ushiriki kilio cha "mayu noyaga"!!
Kunguni keshasagika tayari hata mimi nasikia haruifu yake tu!!! hivi kuna mtu hasikii harufu ya wananchi kuangikia pua? Ni mwenye roho ngumu tu ndiye mwenye kusubiri pointi tatu hapa kwa yanga!Acha kusaga kunguni mkuu.
acha ubwege .Kwa wanyamwezi, Kilio cha "mayu noyaga" ni cha "mama nimekoma".
Hicho ndicho kilio kinachowasubiri Yanga watakapokutana na Medeama hapo kesho!
Medeama ni kitimu ambacho hakipo hata kwenye ramani ya soka la Afrika lakini kwa yanga ni mlima mrefu usiopandika!
Tuliwaambia michuano ya losers imesababisha wawe overated!!
Ona sasa watakavyoadhirika!!
Baada ya mechi ya leo hujakoma bado? Pointi tatu utazisikiaga kwenye bomba tu!! Hapa siyo losers cup!!acha ubwege .