Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli nimeona mwalimuBasi ‘junun’ ndo mzizi/msingi wa neno ‘majinuni’.
Kiwango kikubwa cha maneno ya Kiswahili ni Kiarabu.
Mi naishi ugenini passport naitumia kujia Tz tu-between European capitals natumia identity card na driving licence-technology imefanya haya mambo possibleNi sawa na kusema kitambulisho cha kupigia kura ni cha kipind cha uchaguzi tu hivyo hakina maana baada ya uchaguzi,passport ina umuhimu mkubwa hasa kwa wale waishio nchi za ugenini huko.
Mi naishi ugenini passport naitumia kujia Tz tu-between European capitals natumia identity card na driving licence-technology imefanya haya mambo possible
Bhoke na wadogo zake wa kiume wote wamezaliwa USA,1000 % sureUna uhakika na hilo?
Yaani wote watatu kawazalia Marekani?
Au unasadiki tu?
Mange kwa sasa anayo passport which is valid na authorities watakuwa na copy. Ina maana wewe ujasikia watu wana destroy passport ndani ya ndege na nchi wanazofikia zinawapa identity mpya??Hiyo identity card na driving licence ulivipata bila kuwasilisha passport? Au form ya maombi ya kuvipata vitu hivyo ulipeleka nini?
Mange kwa sasa anayo passport which is valid na authorities watakuwa na copy. Ina maana wewe ujasikia watu wana destroy passport ndani ya ndege na nchi wanazofikia zinawapa identity mpya??
Bhoke na wadogo zake wa kiume wote wamezaliwa USA,1000 % sure
Bhoke na wadogo zake wa kiume wote wamezaliwa USA,1000 % sure
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hongera mwarabu wa Simiyu
Mzungu ana huruma,ushahidi ataupata wapi Afrika???? Anajua dhiki ndio imekuleta Unafikiri hao boat people wanaotokea North Africa will all end up getting citizenship Europe. Hayo masharti,ni ngumu third world,wazee wetu hata birth certificate hawaijui leo umyime passport-loopholes hazitakosaMbona hujajibu swali husika hapo?
Na hao wanaoharibu hati zao wanakua na sababu za kueleweka na ushahidi,ingekua ni rahisi kuchana hati kisha unafika uendako unapewa nyingine mbona mie na ukoo wangu saiv tungekua tunaongelea ulaya huko
Swali nililoweka mara ya kwanza linaeleweka au mwenzetu kila kitu unatafutiwa ndo maana haufaham kama kuna passport mpya na mashart yake na mwisho wa kutumika kwa passport za zaman
mangekimambi:We uleiba hii account ya @wemasepetu ujue soon Wema atarudishiwa account yake. Instagram watakunyang’anya watamrudishia, ungesaidia sana watanzania wanaotaka kulikomboa taifa kama ungeidelete kabisa hiyo page...... Hakuna kitu kinaboa kama Wema kumposti Bashite kwenye hiyo page.watu jinsi walivyompigania alafu anawapa middle finger kwa kumposti Bashite tena kwa mashauzi, .
Ukiidelete Page ndo hawezi kuipata tena ila kwa hivyo unavyoitumia watamrudishia tu ndani ya siku 1 au mbili.....
Au kama hujui jinsi ya kudelete account nipe access dakika 5 tu naidelete au natoa followers wooooote..
mangekimambi_:Eeh bwana eeh kuna mtu wa karibu kaniletea info kaniambia account haijaibiwa bwana , anayo Wema mwenyewe. Alikosea kuposti tangazo la kwanza alidhani anaposti kwenye account yake ingine ya matangazo so ikabidi aendelee kuposti matangazo aseme account hacked, na hilo tangazo la kwanza kalifuta . Na ndio maana profile bio na mapicha yake kayaacha....Haya basi tuendeleee na issue zingine, hajaibiwa mtu acccount hapo.... [HASHTAG]#vyumaVimekaza[/HASHTAG]
UPDATE:
Ila nyinyi mahacker mkizipata hizi account za hawa wasaliti na mbwa zingine zoooote zinazoposti Bashite au CCM msiwe mnapoteza muda kuweka matangazo muwe mnalog in kwenye website ya insta mnazidelete tu fastaaaa..Account ikishakuwa deleted haiwezi kuwa recovered tenaaaa.Sababu mwisho wa siku hata ukisema uitumie kwa matangazo hutonufaika chochote sababu ndani ya siku moja au mbili utanyang’anywa acccount na mmiliki atarudishiwa sasa si bora uongeze nguvu kwenye safari ya ukombozi kwa kuidelete tu????
hahaaaUshawahi kulisikia neno ‘majinuni’?
Mzungu ana huruma,ushahidi ataupata wapi Afrika???? Anajua dhiki ndio imekuleta Unafikiri hao boat people wanaotokea North Africa will all end up getting citizenship Europe. Hayo masharti,ni ngumu third world,wazee wetu hata birth certificate hawaijui leo umyime passport-loopholes hazitakosa
Sasa nisemeje mke mwenza.?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bby sasa huo mtihani ujue.Zitaje hospitali walizozaliwa, majimbo, miji, tafadhali....
wtf your talking about?Bhoke na wadogo zake wa kiume wote wamezaliwa USA,1000 % sure