Tetesi: Kilio wema sepetu kudukuliwa instagram account yake, Mange Kimambi afurahia

Tetesi: Kilio wema sepetu kudukuliwa instagram account yake, Mange Kimambi afurahia

Huyu Mange ni mnafiki sana mimi nikuwa nam follow ni hivi majuzi alituma jumba za kijinga na za kitoto sana ikabidi nimueleza kuwa hicho anachofanya hakifanani na hadhi anayoitafuta hizi mambo za umbeya wa kinje na tunda au dai na wema ni mabo ya kitoto anzisha akaunti nyingine za udaku. Sikuamini baadae siku ya pili hii mwanamke imeniblock nikastaajabu sana wakati yeye ni hodari wa kusasambua wenzake kumbe ukimgusa anaingia mitini. Kweli nimeamini huyu ni changudoa. Na asili yake ni mtu aliekulia katika mazingira magumu sana maishani mwake


Pole sio kwa povu hilo. Naona umetoka juzi Simiyu.

Tunaomfahamu Mange tangu uturn blog kapata umaarufu sababu ya umbea, hizi siasa kaanza juzijuzi tu. Mange ni mbea hao shilawadu hawaoni ndani. Halafu mbona mambo ya siasa anapost sana? Kuna wadau wake wengi pia wanapenda umbea hawataki siasa, kwahiyo sio mbaya akipost maramojamoja.

By the way, akipost siasa comments hazifiki 100, akipost udaku comments hadi 2000 ,hata ungekuwa wewe ungejikita umbea maana hakuna anayemlipa
 
Kumbuka bado magu ana safari ndefu madarakani. Opsss hapa ntaonekana wa lumumba ila ukweli magu hang'oki 2020
Utawala unabadilika.

Kipindi cha jk papi kocha alikuwa adui.

Kipindi cha magu papikocha ni mtumbwizaji kwenye sherehe za kitaifa.
 
Nakumbuka kuna alibisha kuhusu talaka kwa viapo vyote,kufulia alibisha pia sembuse kurudi Tanzania. Hapa ni mtakuja,one day atakula maneno yake
Akusem

a aneshazika baba na mama Tanzania kwake si lazima kuja
 
Hapa naona hatutaelewana,,mfano mdogo ukienda England wapemba wote ni raia- Queen alivyokuwa na huruma. kuna mji siukumbuki jina utafikiri uko kariakoo-na wote hao waliingia England as stateless persons-passport wali destroy kwenye ndege
Haujui unachokiongea wewe, unasikiliza stories za vijiweni danganywa hivyo hivyo eti wote ni raia.
 
Haujui unachokiongea wewe, unasikiliza stories za vijiweni danganywa hivyo hivyo eti wote ni raia.
I am beyond story za vijiweni me is currently living the dream-hopefully your medulla has grasped my point
 
Hivi MTU unawezaje kuwa na rafiki kama Mange .. Unamwambia kabisa na mambo yako
 
Ukimgusa Mange Kimambi,unakuwa umegusa Trigger ya AK47 huku mdomo wa Bunduki ukiwa umeuelekeza kwako!
 
Back
Top Bottom