Killy na Cheed wajitoa King's Music

Killy na Cheed wajitoa King's Music

WAKATI MAVOKO NA HARMO WANAONDOKA WCB WALIKUWA HADHI SAWA KIMUZIKI NA HAO KINA KILLY NA CHEEDY? 🤔
NI HULKA YA BINADAM KUPATA ZAIDI ILA KWA HAWA HATA KIASI CHA KATI WALIKUWA HAJAWAFIKIA, IO ZAIDI WANAITA VIPI? 🤔
NAAMANISHA MAVOKO NA HARMO WALIOTOKA WCB WALIKUWA KIDOGO WAMEPIGA HATUA TOFAUTI NA HAWA AMBAO NDO KWANZA WALIANZA SAFARI YAO KIUFANISI ZAIDI
😃😃😃😃😃😃😃😃 Ukweli unaochekesha
 
Hao wamepewa umaarufu na wakajipima wakaona wanaweza sasa kujitegeme lakini huyo cheedy na killy wapo mwaka 1 king's music lakini hawaoni matunda na still wanaonekana underground wakati rayvanny, lavalava, Harmonize wametoboa wasafi kwa ngoma 1 tu.
Hao wana talent ya Harmo na Rayyvanny?
 
Cheed dogo ana kipaji. Ali Kiba hamtendei haki. Ni yule aliyeimba verse ya kwanza Masoz kama waujua.
Mwenye sauti ya kimama kweli! nilipoisikia kwenye redio nilibishana na mtu kama alikuwa demu mpaka akanionesha video!!!
 
Nahisi wamejitoa kwa sababu mmojawapo...
Kati ya Killy au Cheedy ameibiwa wimbo wake wa Dodo na KingIne KibaMia
 
Back
Top Bottom