kibla matata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2020
- 412
- 380
Kaoona hafiki popote bora aende wcbMasozy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaoona hafiki popote bora aende wcbMasozy
Dini gani kwani hao wasanii?Huyo mwenye sauti ya Ali kiba sitashangaa WCB wakimchukua
Rich mavoko na Harmo vp WCB hawakujiandaa..ni hulka ya binadamu kutaka zaidiHUWEZI SIMAMIA WASANII KAMA MWENYEWE TU UMESHINDWA KUJISIMAMIA VIZURI, TATIZO KIBA ALIIGA VITU KABLA HAJAANDAA MAZINGIRA YA KUVIMUDU
[emoji23][emoji23][emoji23]Rich mavoko na Harmo vp WCB hawakujiandaa..ni hulka ya binadamu kutaka zaidi
Mobeto unazingua..Dini gani kwani hao wasanii?
Alafu anawapeleka wapi?
Kwani huyo diva si huwa namsikia ni mtu wa kiba kwa sana!?
Rich mavoko na Harmo vp WCB hawakujiandaa..ni hulka ya binadamu kutaka zaidi
Zuchu nae huku nimemwambia ajitoe aanzishe lebo yake si unajua ni demu wanguKila kona Zuchu
Rich mavoko na Harmo vp WCB hawakujiandaa..ni hulka ya binadamu kutaka zaidi
Kwani Rayvani dini gani?Dini gani kwani hao wasanii?
Cheed dogo ana kipaji. Ali Kiba hamtendei haki. Ni yule aliyeimba verse ya kwanza Masoz kama waujua.
Nyie mashabiki watu ndio mnaoharibu mziki, zuchu ni takataka tu kwenye mziki, promo ndio inamuweka mjini.Kila kona Zuchu
Hao wamepewa umaarufu na wakajipima wakaona wanaweza sasa kujitegeme lakini huyo cheedy na killy wapo mwaka 1 king's music lakini hawaoni matunda na still wanaonekana underground wakati rayvanny, lavalava, Harmonize wametoboa wasafi kwa ngoma 1 tu.Rich mavoko na Harmo vp WCB hawakujiandaa..ni hulka ya binadamu kutaka zaidi