Na wewe fanya promo uwekwe mjiniNyie mashabiki watu ndio mnaoharibu mziki, zuchu ni takataka tu kwenye mziki, promo ndio inamuweka mjini.
Sent using Jamii Forums mobile app
😃😃😃😃😃😃😃😃 Ukweli unaochekeshaWAKATI MAVOKO NA HARMO WANAONDOKA WCB WALIKUWA HADHI SAWA KIMUZIKI NA HAO KINA KILLY NA CHEEDY? 🤔
NI HULKA YA BINADAM KUPATA ZAIDI ILA KWA HAWA HATA KIASI CHA KATI WALIKUWA HAJAWAFIKIA, IO ZAIDI WANAITA VIPI? 🤔
NAAMANISHA MAVOKO NA HARMO WALIOTOKA WCB WALIKUWA KIDOGO WAMEPIGA HATUA TOFAUTI NA HAWA AMBAO NDO KWANZA WALIANZA SAFARI YAO KIUFANISI ZAIDI
Na konde piaKwani huyo diva si huwa namsikia ni mtu wa kiba kwa sana!?
Kama ni kweli basi ndio alimshawishi mwenzake maana kazoeaKilly hii management ya tatu kujitoa.
Alafu anawapeleka wapi?
Hao wana talent ya Harmo na Rayyvanny?Hao wamepewa umaarufu na wakajipima wakaona wanaweza sasa kujitegeme lakini huyo cheedy na killy wapo mwaka 1 king's music lakini hawaoni matunda na still wanaonekana underground wakati rayvanny, lavalava, Harmonize wametoboa wasafi kwa ngoma 1 tu.
Leo tena habani sauti kama ya mwanamke??Cheed dogo ana kipaji. Ali Kiba hamtendei haki. Ni yule aliyeimba verse ya kwanza Masoz kama waujua.
Mwenye sauti ya kimama kweli! nilipoisikia kwenye redio nilibishana na mtu kama alikuwa demu mpaka akanionesha video!!!Cheed dogo ana kipaji. Ali Kiba hamtendei haki. Ni yule aliyeimba verse ya kwanza Masoz kama waujua.
kiba hana mke na anawalaza sebuleni kama vyombo, usikute kasha waambaruty hivo wamechoka wameamua kutimua
RobidinyoNahisi wamejitoa kwa sababu mmojawapo...
Kati ya Killy au Cheedy ameibiwa wimbo wake wa Dodo na KingIne KibaMia
Wamejitoa kings music sababu ya maslahi because walikuwa hawawezi kumiliki hata gari
Ukweli usio semwaKusimamia msanii mchanga mpaka atoboe sio kazi ndogo hapo ndo ninapokuja kumpa heshima yake chibu Dangote.. Bahati mbaya zuchu ametrend kuliko wao ambao wana mda mrefu kwenye gemu Kiba ni tayari Legend na ana fans wake sasa anataka awapeleke madogo kama yeye wakati ndo kwanza wanaanza sio poa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile nyimbo ukimtoa mobeto inabaki beat[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa hivi dodo,kiufupi huu wimbo katoa Boko la hatari,bora angeendelea kukakaa kimya,ingekuwa anatoa back to back tungechukulia kawaida,lkn anakaa mwaka then anakuja kutoa nyimbo kama hiyo.