Baada ya Harmonize kavunja mkataba wa Cheedy pamoja na Killy chini ya Label yake ya Kondegang baada ya kufata pendekeza la Manager wake Kajala Masanja.
Cheedy na Killy wameenda Basata kudai fidia ya kuvunjwa mkataba wao ambapo wanatakiwa kulipwa kila mmoja million 10 na label ya Kondegang kama ilivyoandikwa kwenye makubaliano ya mkataba.
Baada ya kuona wanazungushwa kupewa pesa yao, wameamua waende Basata kumshtaki Harmonize chini ya Label yake ya Kondegang.
Cheedy na Killy wameenda Basata kudai fidia ya kuvunjwa mkataba wao ambapo wanatakiwa kulipwa kila mmoja million 10 na label ya Kondegang kama ilivyoandikwa kwenye makubaliano ya mkataba.
Baada ya kuona wanazungushwa kupewa pesa yao, wameamua waende Basata kumshtaki Harmonize chini ya Label yake ya Kondegang.