Tetesi: Killy na Cheedy wamshtaki Harmonize BASATA

Tetesi: Killy na Cheedy wamshtaki Harmonize BASATA

Hahaha

Mamaeeee

Bongo nyosoooo

Ova
Si mchezo babu, Mmakonde anafinya kinoma japo akili zangu zinanituma kuwa ufinyaji huo umetengenezwa na Jembe ni Jembe kwani 'inasemekana' kuwa behind the curtains yeye ndiye haswa mmiliki wa label.
 
Si mchezo babu, Mmakonde anafinya kinoma japo akili zangu zinanituma kuwa ufinyaji huo umetengenezwa na Jembe ni Jembe kwani 'inasemekana' kuwa behind the curtains yeye ndiye haswa mmiliki wa label.
Jembe ndy incharge na jembe mlaliaji sana

Ova
 
Mkataba wa Konde Gang nimeupenda, artist akivunja mkataba analipa shilingi bilioni moja kwa label lakini label ikivunja mkataba inamlipa msanii shilingi milioni kumi tu.
Bonge la fairground, damn.....!
artist akivunja mkataba analipa shilingi bilioni moja kwa label lakini label ikivunja mkataba inamlipa msanii shilingi milioni kumi tu.[emoji3064]
 
Mkataba wa Konde Gang nimeupenda, artist akivunja mkataba analipa shilingi bilioni moja kwa label lakini label ikivunja mkataba inamlipa msanii shilingi milioni kumi tu.
Bonge la fairground, damn.....!
artist akivunja mkataba analipa shilingi bilioni moja kwa label lakini label ikivunja mkataba inamlipa msanii shilingi milioni kumi tu.[emoji2827]
 
Sasa na yeye harmonize anajionea kwa macho[emoji16][emoji16].
Sema wcb hawakamui wanakomesha
 
Hii issues kama ingekuwa WCB ,threads ingekimbia sana. Mda kama huu Mange angetoa lake, huku bila kusahahu Wakazi naye ila kwenye hii issues wapo kimya au may be hawana cha kuongea.
Ingekuwa big news kila mahali, press conferences za kukusanya hizi online TV zingekuwa nyingi sana na huu uzi ungekuwa unatiririka kinoma.
Haishangazi lakini kwani ule msemo wa kwamba 'mti wenye matunda ndiyo hupopolewa mawe' ndipo hujidhihirisha.
 
Mkataba wa Konde Gang nimeupenda, artist akivunja mkataba analipa shilingi bilioni moja kwa label lakini label ikivunja mkataba inamlipa msanii shilingi milioni kumi tu.
Bonge la fairground, damn.....!

Mikataba ya kibepari
 
Ukweli ni kwamba Harmonize amechelewa kufanya maamuzi...harmonize hajawa mkubwa kivile kufika hatua kuanza kuwa na wasanii wengi.

Wale wawili wanatosha kabisa

Mwisho :
Chidy na Killy waka muombe msamaha Kaka yao Kiba Masononeko ya Mtu yanaweza yaka kufanya usipige hatua kwa unacho kifanya
 
Ukweli ni kwamba Harmonize amechelewa kufanya maamuzi...harmonize hajawa mkubwa kivile kufika hatua kuanza kuwa na wasanii wengi.

Wale wawili wanatosha kabisa

Mwisho :
Chidy na Killy waka muombe msamaha Kaka yao Kiba Masononeko ya Mtu yanaweza yaka kufanya usipige hatua kwa unacho kifanya
Kurudi kutawanufaisha vipi wakati hao waliobaki Kings Music hawana mbele wala nyuma yaani wapowapo tu, bora wawe independent artists.
Kings na Konde hakuna tofauti yoyote, wote ni walewale tu.
 
Kurudi kutawanufaisha vipi wakati hao waliobaki Kings Music hawana mbele wala nyuma yaani wapowapo tu, bora wawe independent artists.
Kings na Konde hakuna tofauti yoyote, wote ni walewale tu.
Vipi kuhusu Lavalava na Kwein dalin huu ushauri pia una wahusu, au umechagua angle?
 
Niliona amepost yupo yeye na Ibraah tu halafu akasema kwasasa hivi wapo wachache kwaiyo ni ngoma juu ya ngoma

Kwani yule demu Angela bado yupo kwenye lebo au alishafukuzwa nayeye?
 
Back
Top Bottom