Tetesi: Killy na Cheedy wamshtaki Harmonize BASATA

Tetesi: Killy na Cheedy wamshtaki Harmonize BASATA

Vipi kuhusu Lavalava na Kwein dalin huu ushauri pia una wahusu, au umechagua angle?
Si kila anayesema ukweli ni supporter wa WCB lakini kwa kukufurahisha ngoja nikujibu.
-Lavalava hajawahi kuwa nje ya top ten iwe ni kwenye views au digital platform streams, si huwezi kumuweka kundi la failures.
-Queen Darleen hana talent, aliwekwa kwa kubebwa tu na ndiyo maana anaweza kukaa hata three years bila kutoa ngoma hivyo kwa maoni yangu ni bora wangemtoa tu.

Hizi label uchwara zitakuja kuweza kusimamia artists kuwafikisha walipofikishwa Harmonize, Rayvanny, Mbosso, Zuchu au Lavalava?

Maoni yangu: Nadhani artists wengi wa Bongo wanaoanzisha labels si kwa nia ya kuwapambania wasanii bali nia ni waonekani kuwa wanamiliki wasanii hivyo waoneka kuwa ni big artists, hao wasanii wanaosainiwa wanatumiwa kama ngazi.
 
Konde gang wana hata mia kweli?
Boss wao mwenyewe kutwa kushinda kuvuta bangi tu.
Aliwahi kukosa hata laki ya kumlipia mama yake hospital ikabidi diwani mmoja wa ccm aokoe jahazi.
 
Konde hana washaur wa biashara. Hik kitu kinamfelisha Sana. Hajui kukata mawimbi ya kujibrandi na kuwika zaidi. Hata a kupiga kolabo n Chris Leo haimsaidii. Angelielewa soko la kisanii kwanza
 
Back
Top Bottom