Uchaguzi 2020 Kilombero, Morogoro: Daniel Shillah, afukuzwa uanachama wa CHADEMA, Mwenyekiti agomaa asifukuzwe

Hakuna barua hapo ni Takataka kama Takataka zingine.ukizoom kwenye jina utaona kasoro kubwa
 
Huyu Shillah anaonekana ana uroho sana wa madaraka, anataka kutumia pesa zake kuhonga wenye njaa apitishwe kuwa mgombea, dawa yake ndio hiyo; AFUKUZWE KABISA CHAMANI KAMA HAWEZI KUFUATA TARATIBU ZA CHAMA ALIZOZIKUTA.
 
Kama mgombea aliyeshinda kura za maoni katemwa maana yake alipita kwa rushwa? Kwanini katemwa?
Wapi imeandikwa aliyeshinda kura za maoni ndio kapita???

Ndio maana zinaitwa kura za maoni.

Maoni si lazima yapite.

ALIYESHINDA AMEKATWA. NI KAWAIDA!

Mliamua kuiga mfumo wa CCM. Kufuata taratibu na katiba flimsy flimsy kama za CCM, mnategemea nini?

Huyo mwingine mwenyekiti hamtaki! Twende na nabii.
 
Hivi alitukana> Kama ni hivyo, fukuza takataka
 
Kabla ya kuandika haya umeona orodha ya majina yaliyopitishwa na chama kugombea ubunge na majimbo husika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…