byakunu
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 583
- 1,318
Wanajamvi habari zenu...
Nina jambo linanipa ukakasi kidogo, kuhusu haya magari yanayo uzwa na wabongo wenzetu kwenye page mbali mbali kama insta na kwingineko, ukakasi huo upo hasa kwenye uhalali wa Mileage ya gari husika au kilometa za gari linalouzwa. Japo kuna ukakasi mwingi zaidi ya mileage...
Ipo hivi gari nyingi za SUV mfano Subaru Forester, Harrier, Vanguard, Landcruiser, Dualis, na zinginezo. Gari hizi ukiziangalia kwenye mtandano Befoward. SBT, na page zingine za Japan kwa gari za bei affordable unakuta nyingi gari hizo zina kilometa nyingi kuanzia 110,000 nakuendelea. Zenye mileage ndogo lazima utakuta bei yake imesimama sana na kupelekea kushindwa kuinunua kutoka Japan
Ukija kutafuta au kuangalia hizi za Bongo watu wanaagiza huko Japan, wanatumia then wanaziuza kwa sababu zao mbali mbali kupitia madalali wa page za insta,zoom na kupatana, sasa hizi gari cha kushangaza zina kuwa na low mileage kupita uhalisia, mfano unakuta ina 75,000 kms, na bei anayo kuuzia ni ya kawaida tu, na gari namba ya plate sio ya muda mrefu sana, yaani namba D...,
Hapa nina wasiwasi saana kuwa hizi gari zinashushwa kilometa kwahyo tunapigwa sana,nimeweka mifano kwa picha, tusaidiane mawazo
Nina jambo linanipa ukakasi kidogo, kuhusu haya magari yanayo uzwa na wabongo wenzetu kwenye page mbali mbali kama insta na kwingineko, ukakasi huo upo hasa kwenye uhalali wa Mileage ya gari husika au kilometa za gari linalouzwa. Japo kuna ukakasi mwingi zaidi ya mileage...
Ipo hivi gari nyingi za SUV mfano Subaru Forester, Harrier, Vanguard, Landcruiser, Dualis, na zinginezo. Gari hizi ukiziangalia kwenye mtandano Befoward. SBT, na page zingine za Japan kwa gari za bei affordable unakuta nyingi gari hizo zina kilometa nyingi kuanzia 110,000 nakuendelea. Zenye mileage ndogo lazima utakuta bei yake imesimama sana na kupelekea kushindwa kuinunua kutoka Japan
Ukija kutafuta au kuangalia hizi za Bongo watu wanaagiza huko Japan, wanatumia then wanaziuza kwa sababu zao mbali mbali kupitia madalali wa page za insta,zoom na kupatana, sasa hizi gari cha kushangaza zina kuwa na low mileage kupita uhalisia, mfano unakuta ina 75,000 kms, na bei anayo kuuzia ni ya kawaida tu, na gari namba ya plate sio ya muda mrefu sana, yaani namba D...,
Hapa nina wasiwasi saana kuwa hizi gari zinashushwa kilometa kwahyo tunapigwa sana,nimeweka mifano kwa picha, tusaidiane mawazo