Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

Wanajamvi habari zenu...

Nina jambo linanipa ukakasi kidogo, kuhusu haya magari yanayo uzwa na wabongo wenzetu kwenye page mbali mbali kama insta na kwingineko, ukakasi huo upo hasa kwenye uhalali wa Mileage ya gari husika au kilometa za gari linalouzwa. Japo kuna ukakasi mwingi zaidi ya mileage...

Ipo hivi gari nyingi za SUV mfano Subaru Forester, Harrier, Vanguard, Landcruiser, Dualis, na zinginezo. Gari hizi ukiziangalia kwenye mtandano Befoward. SBT, na page zingine za Japan kwa gari za bei affordable unakuta nyingi gari hizo zina kilometa nyingi kuanzia 110,000 nakuendelea. Zenye mileage ndogo lazima utakuta bei yake imesimama sana na kupelekea kushindwa kuinunua kutoka Japan

Ukija kutafuta au kuangalia hizi za Bongo [emoji23] watu wanaagiza huko Japan, wanatumia then wanaziuza kwa sababu zao mbali mbali kupitia madalali wa page za insta,zoom na kupatana, sasa hizi gari cha kushangaza zina kuwa na low mileage kupita uhalisia, mfano unakuta ina 75,000 kms, na bei anayo kuuzia ni ya kawaida tu, na gari namba ya plate sio ya muda mrefu sana, yaani namba D...,

Hapa nina wasiwasi saana kuwa hizi gari zinashushwa kilometa kwahyo tunapigwa sana,nimeweka mifano kwa picha, tusaidiane mawazo
View attachment 1800662
View attachment 1800663
View attachment 1800664
Mdau wa Subaru forester
 
Nimekuja na uzi mwingine, ukiona mtu kapost chassis namba ya gari na ile gari kaiagizia Befoward.. ichukue ile chassis number kama ilivyo igoogle, ilegari itakuja kama ilivokua listed na Befoward wakati inauzwa ikague zile picha nenda mpaka kwenye picha inayoonesha odometer reading utacheka ufe.. nakupa mfano gari hii apa chini naipost.. na nnaenda kuitafuta befoward ilivokua listed. Jaman tuache ukitonga na uvivu wa kutafta maarifa mapya, haya magari tuyaagize wenyewe tu hakuna mateso yoyote unayoweza kuya pata kwa kusubiri meli ifike mwezi mmoja mpaka miwili.View attachment 1890299
Gari inauzwa na dalali wa kibongo anaandika uongo uongo. Ukiichukua hiyo chassis namba ukaweka google ngoma zinakuja kama hivi chini[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] cheki mileage halisi ya gari, jamaa kaamua kuficha hiyo laki kasema gari ina 51000km[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1890301
View attachment 1890302
View attachment 1890303
View attachment 1890304
Duuhh asee bladifaken
 
Nimekuja na uzi mwingine, ukiona mtu kapost chassis namba ya gari na ile gari kaiagizia Befoward.. ichukue ile chassis number kama ilivyo igoogle, ilegari itakuja kama ilivokua listed na Befoward wakati inauzwa ikague zile picha nenda mpaka kwenye picha inayoonesha odometer reading utacheka ufe.. nakupa mfano gari hii apa chini naipost.. na nnaenda kuitafuta befoward ilivokua listed. Jaman tuache ukitonga na uvivu wa kutafta maarifa mapya, haya magari tuyaagize wenyewe tu hakuna mateso yoyote unayoweza kuya pata kwa kusubiri meli ifike mwezi mmoja mpaka miwili.View attachment 1890299
Gari inauzwa na dalali wa kibongo anaandika uongo uongo. Ukiichukua hiyo chassis namba ukaweka google ngoma zinakuja kama hivi chini[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] cheki mileage halisi ya gari, jamaa kaamua kuficha hiyo laki kasema gari ina 51000km[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1890301
View attachment 1890302
View attachment 1890303
View attachment 1890304
Hii njia nzuri sana nimeipenda [emoji28]
 
Nimekuja na uzi mwingine, ukiona mtu kapost chassis namba ya gari na ile gari kaiagizia Befoward.. ichukue ile chassis number kama ilivyo igoogle, ilegari itakuja kama ilivokua listed na Befoward wakati inauzwa ikague zile picha nenda mpaka kwenye picha inayoonesha odometer reading utacheka ufe.. nakupa mfano gari hii apa chini naipost.. na nnaenda kuitafuta befoward ilivokua listed. Jaman tuache ukitonga na uvivu wa kutafta maarifa mapya, haya magari tuyaagize wenyewe tu hakuna mateso yoyote unayoweza kuya pata kwa kusubiri meli ifike mwezi mmoja mpaka miwili.View attachment 1890299
Gari inauzwa na dalali wa kibongo anaandika uongo uongo. Ukiichukua hiyo chassis namba ukaweka google ngoma zinakuja kama hivi chini[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] cheki mileage halisi ya gari, jamaa kaamua kuficha hiyo laki kasema gari ina 51000km[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1890301
View attachment 1890302
View attachment 1890303
View attachment 1890304
Wameipiga rim kali 😂😂😂 na maji safi inawaka mzee kumbe ngoma ina laki na khamsa za uzururaji 🤣
 
Kumbe watu wanalizwa kimasihara hivyo
We acha tu. Baadhi ya wabongo si watu wazuri.

Kwenye mwaka 2000 niliagiza gari kwa jamaa anayefanya biashara ya magari anayatoa Dubai, gari lilikuwa safi na ilikuja ikiwa na km kwenye 45,000. Gari ilipofikisha km 100,000 ile namba 1 ilikuwa imechubuliwa vibaya yaani watakuwa waliirudisha kwenye 0 ili waweze kupata hiyo 45,000 kutokana na ilo akili yangu ikaniambia hii gari ilikuwa kwenye km 145,000 wakafanya wanayojua wakairudisha 1 kuwa 0.
 
We acha tu. Baadhi ya wabongo si watu wazuri.

Kwemye mwaka 2000 niliagiza gari kwa jamaa anayefanya biashara ya magari anayatoa Dubai, gari lilikuwa safi na ilikuja ikiwa na km kwenye 45,000. Gari ilipofikisha km 100,000 ile namba 1 ilikuwa imechubuliwa vibaya yaani watakuwa waliirudisha kwenye 0 ili waweze kupata hiyo 45,000 kutokana na ilo akili yangu ikaniambia hii gari ilikuwa kwenye km 145,000 wakafanya wamayojua wakairudisha 1 kuwa 0.
Sina gari ila napata shule apa
 
Back
Top Bottom