Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

Wakuu kwema kuna gari japani inasoma km 110,000 ni mileage reasonable kwa bongo naomba ushauri

Ukiwa unanunua gari Japan 110,000 mileage inaweza ikawa na issues au isiwe na issues kabisa...

1. Waagizaji wakubwa wanasema gari ikifikia umbali huo ni lazima ifanyiwe mabadiliko ya vitu vyote muhimu, hivyo ndio maana hata katika mitandao yao gari nyingi huwa listed na kilometer nyingi kidogo...

2. Epuka gari zenye mileage kati ya 60,000 had 90,000 hapo, sababu mileage hizo hazipo katika vile vigezo vinavyolazimisha gari ifanyiwe service kubwa ya lazima, yaani nchi za wenzetu huko wana sheria ya mandatory service kuepukana na yale mambo ya uchafuzi wa mazingira, gari kupass vipimo vya traffic za huko (wanaojua zaidi wanaweza sahihisha binafsi sijafanya utafiti baada ya kuambiwa)...

3. Kabla hujaagiza gari na unawatumia hao watu sijui kina beforward, enhanced na wengineo, hakikisha unafika ofisini kwao ili wakuoneshe Grade ya gari na kama ina defects zozote.
Kwa uzoefu wangu watu wengi hununua magari grade 3.5 kushuka chini na yenye defects ambazo hawakuelezwa kwa sababu hawakutaka kujua...

4. Ukinunua gari yoyote hata yenye mileage 20,000km, kama huzingatii service na matunzo basi jua uhai wa gari yako utakuwa matatani...
 
Madalali wengi wa mlimani city ni wachaga yaan wale jamaa na wauza simu za makumbusho ni janga kabisa
Nishauzaga RAV4 pale Ina 234,000 Kms siku jamaa akaikuta Ina 34,000kms tu zile 200,000 Kms hazipo na Gari imepigwa rangi upya, plate number imewekwa mpya (number Ile ile). Jichanganye sasa
 
Ukiwa unanunua gari Japan 110,000 mileage inaweza ikawa na issues au isiwe na issues kabisa...

1. Waagizaji wakubwa wanasema gari ikifikia umbali huo ni lazima ifanyiwe mabadiliko ya vitu vyote muhimu, hivyo ndio maana hata katika mitandao yao gari nyingi huwa listed na kilometer nyingi kidogo...

2. Epuka gari zenye mileage kati ya 60,000 had 90,000 hapo, sababu mileage hizo hazipo katika vile vigezo vinavyolazimisha gari ifanyiwe service kubwa ya lazima, yaani nchi za wenzetu huko wana sheria ya mandatory service kuepukana na yale mambo ya uchafuzi wa mazingira, gari kupass vipimo vya traffic za huko (wanaojua zaidi wanaweza sahihisha binafsi sijafanya utafiti baada ya kuambiwa)...

3. Kabla hujaagiza gari na unawatumia hao watu sijui kina beforward, enhanced na wengineo, hakikisha unafika ofisini kwao ili wakuoneshe Grade ya gari na kama ina defects zozote.
Kwa uzoefu wangu watu wengi hununua magari grade 3.5 kushuka chini na yenye defects ambazo hawakuelezwa kwa sababu hawakutaka kujua...

4. Ukinunua gari yoyote hata yenye mileage 20,000km, kama huzingatii service na matunzo basi jua uhai wa gari yako utakuwa matatani...
Kuagiza Gari mpaka ufike ofisin upo zama zipi ndugu? Au we ndo wale vijana wenye muda wa kuzunguka maofisin mwa watu?
 
Kuagiza Gari mpaka ufike ofisin upo zama zipi ndugu? Au we ndo wale vijana wenye muda wa kuzunguka maofisin mwa watu?

Elewa kwanza ujumbe ulioandikwa kabla hujaanza ku-quote...

Unaweza kuagiza gari, lakini wewe utapitia front end pekee yenye basic information tu, wakati wauzaji wao wana vyote front na back end (inakuonesha all faults + car grade), wauzaji wengine sio waaminifu hadi uwabane ana kwa ana...
 
Hilo usiulize tunapigwa Sana, ukianglia Gari nyingi zinachezea km 40k,60,70, nyingi hawa haizidi hapo
Tunapigwa tena sana na hivi Watz ni wavivu kutafuta vitu.
Picha 2.jpg
Kama hii Beforward inasoma 178,321 km lakini kuna page Insta niumeona inasoma 71,506 gari ni ile ile mileage tofauti.
InkedPicha_LI.jpg



HUU NI UTAPELI WA WAZI KABISA. Wakati huko mbele ukikuta gari nina low milage bei yake haikamatiki kabisa.
 
Tunapigwa tena sana na hivi Watz ni wavivu kutafuta vitu.
View attachment 2062873Kama hii Beforward inasoma 178,321 km lakini kuna page Insta niumeona inasoma 71,506 gari ni ile ile mileage tofauti. View attachment 2062881


HUU NI UTAPELI WA WAZI KABISA. Wakati huko mbele ukikuta gari nina low milage bei yake haikamatiki kabisa.
Daaah aisee mkubwa hongera sana na wewe umegundua wanalouza wahuni wa bongo na kulitafuta gari kwenye site ya befoward kuona real history yake.

kwa kifupi jamani tukubaliane, Low mileage ya japan au ulaya bei ni mkasi sana haikamatiki. Ila low mileage za hapa bongo jiandae maumivu yasio isha
 
Daaah aisee mkubwa hongera sana na wewe umegundua wanalouza wahuni wa bongo na kulitafuta gari kwenye site ya befoward kuona real history yake.

kwa kifupi jamani tukubaliane, Low mileage ya japan au ulaya bei ni mkasi sana haikamatiki. Ila low mileage za hapa bongo jiandae maumivu yasio isha
Kweli kabisa mkuu bei zinakuwa zimesimama ni mara 2 au 3 ya hizi tunazonunua hapa kwetu. Nimeona moja ina 159,000km bongo imewekwa 59,000km gari hiyo hiyo.

Ni kuwa makini tu na kufuatilia taarifa za gari kwa ukaribu hasa likiwa na mileage ndogo.
 
Kweli kabisa mkuu bei zinakuwa zimesimama ni mara 2 au 3 ya hizi tunazonunua hapa kwetu. Nimeona moja ina 159,000km bongo imewekwa 59,000km gari hiyo hiyo.

Ni kuwa makini tu na kufuatilia taarifa za gari kwa ukaribu hasa likiwa na mileage ndogo.
Wabongo wanafuta ile namba moja inayowakilisha malaki wanaacha ile ya maelfu 10 yani kama hio
159,000 wanaua hio 1 inabakia 59,000kms hatari sana sema yote hii ni baada ya kasumba za wabongo kuanza kushobokea gari kwa plate number😅 na Odometer yenye figure ndogo!

Kumbe kuna gari za 242,000kms ni nzima kuliko fake za 60,000kms.
 
Back
Top Bottom