Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

Bongo hatari sana...
Unakuta kagari kameshazurura kuliko mbwa koko..

Kanapigwa rangi, kanaogeshwa, kanashushwa mileage...

Anasubiriwa mteja mwenye wenge..[emoji2957][emoji2957][emoji2960][emoji2960]

Nilishawahi kusema na leo narudia, ni afadhali uagize gari Japan lenye km 1500k kuliko kununua bongo lenye km 600k
 
Bongo hatari sana...
Unakuta kagari kameshazurura kuliko mbwa koko..

Kanapigwa rangi, kanaogeshwa, kanashushwa mileage...

Anasubiriwa mteja mwenye wenge..[emoji2957][emoji2957][emoji2960][emoji2960]

Nilishawahi kusema na leo narudia, ni afadhali uagize gari Japan lenye km 1500k kuliko kununua bongo lenye km 600k
Hizo gari za yard siku hz wauzaji wanatembelea zile Chassis# hata mwaka. Baadhi walikua wanakosiaha wanaotaka kusafir nazo Moshi sikukuu
 
Wabongo wanafuta ile namba moja inayowakilisha malaki wanaacha ile ya maelfu 10 yani kama hio
159,000 wanaua hio 1 inabakia 59,000kms hatari sana sema yote hii ni baada ya kasumba za wabongo kuanza kushobokea gari kwa plate numberπŸ˜… na Odometer yenye figure ndogo!

Kumbe kuna gari za 242,000kms ni nzima kuliko fake za 60,000kms.
Kweli kabisa mkuu tunajipiga wenyewe tunaangalia mileage kwanza kabla ya yote, kuna mshikaji wangu wakati anatafuta gari alikuwa anataka mileage chini ya 50,000km akahangaika akapata Forester XT ina 45,000km kila tukionana anajisifia sasa hivi iko 49,000km. Nikamwambia hii michezo haamini kabisa anakwambia ajent aliyeniagizia ni shemeji yangu hawezi kunipiga.

Hizi kampuni za waswahili ni shida sana, kuna yard ukienda gari zao zimeenda mileage ila ni nzima mfano JanJapan hawana hii michezo ya kitoto.
 
Kweli kabisa mkuu tunajipiga wenyewe tunaangalia mileage kwanza kabla ya yote, kuna mshikaji wangu wakati anatafuta gari alikuwa anataka mileage chini ya 50,000km akahangaika akapata Forester XT ina 45,000km kila tukionana anajisifia sasa hivi iko 49,000km. Nikamwambia hii michezo haamini kabisa anakwambia ajent aliyeniagizia ni shemeji yangu hawezi kunipiga.

Hizi kampuni za waswahili ni shida sana, kuna yard ukienda gari zao zimeenda mileage ila ni nzima mfano JanJapan hawana hii michezo ya kitoto.
Jan Japan ukikuta chombo ni chombo kweli japo km zimesonga ila isitoshe gari za toyota timeframe yake ni 400,000 kms baada ya hapo ndio unashauriwa kufanya overhaul
 
Kweli kabisa mkuu tunajipiga wenyewe tunaangalia mileage kwanza kabla ya yote, kuna mshikaji wangu wakati anatafuta gari alikuwa anataka mileage chini ya 50,000km akahangaika akapata Forester XT ina 45,000km kila tukionana anajisifia sasa hivi iko 49,000km. Nikamwambia hii michezo haamini kabisa anakwambia ajent aliyeniagizia ni shemeji yangu hawezi kunipiga.

Hizi kampuni za waswahili ni shida sana, kuna yard ukienda gari zao zimeenda mileage ila ni nzima mfano JanJapan hawana hii michezo ya kitoto.
Wewe nae unajichanganya Sasa pale JanPapan mbona wapo waswahili wenzetu? Labda ungesema mtu aagize mwenyewe. Niliwahi kwenda kuuliza Mitsubishi Outlander nikaambiwa 27m TZS wakati mtandaoni mpaka kufika Bongo 16.5m TZS
 
Wewe nae unajichanganya Sasa pale JanPapan mbona wapo waswahili wenzetu? Labda ungesema mtu aagize mwenyewe. Niliwahi kwenda kuuliza Mitsubishi Outlander nikaambiwa 27m TZS wakati mtandaoni mpaka kufika Bongo 16.5m TZS
Mkuu pale Outlander wanaanzia 18 hadi 17.5m Desemba hii nilienda kuulizia japo binafsi sikuzipenda gari zao na pia huwa ni chache ikabidi niagize. Kingine management ya JanJapan sio waswahili ni wapakstan kama sikosei wabongo wapo kwenye marketing na kutemebeza watu pale yard pamoja na ufundi..
 
Mkuu pale Outlander wanaanzia 18 hadi 17.5m Desemba hii nilienda kuulizia japo binafsi sikuzipenda gari zao na pia huwa ni chache ikabidi niagize. Kingine management ya JanJapan sio waswahili ni wapakstan kama sikosei wabongo wapo kwenye marketing na kutemebeza watu pale yard pamoja na ufundi..
Mkuu uswahili umeuambatanisha na ngozi. Hao wapakistan unaowatetea waswahili pia. Au zile kobazi zinakuchanganya?
 
Mkuu uswahili umeuambatanisha na ngozi. Hao wapakistan unaowatetea waswahili pia. Au zile kobazi zinakuchanganya?
Mkuu mjadala ulikuwa kwenye mileage ya gari, hapo ndipo nilipojikita pale Jan kuna magari yanasoma hadi 200,000km ila wabongo wengi magari yanayouzwa ni chini ya 100,000km.
 
Kweli kabisa mkuu bei zinakuwa zimesimama ni mara 2 au 3 ya hizi tunazonunua hapa kwetu. Nimeona moja ina 159,000km bongo imewekwa 59,000km gari hiyo hiyo.

Ni kuwa makini tu na kufuatilia taarifa za gari kwa ukaribu hasa likiwa na mileage ndogo.
Gari ya mileage ndogo ni ya kuikagua physically kwanza, angalia siti ya dereva usawa wa paja la kulia kwake, angalia door knobs, buttons za ac, mirror na vingine, angalia kirungu cha gia, angalia pedeli zake ukiona zimechoka au zimechubuka sana jua umechezewa.
 
Gari ya mileage ndogo ni ya kuikagua physically kwanza, angalia siti ya dereva usawa wa paja la kulia kwake, angalia door knobs, buttons za ac, mirror na vingine, angalia kirungu cha gia, angalia pedeli zake ukiona zimechoka au zimechubuka sana jua umechezewa.
Shukurani kutuongezea madini Mkuu, nyingine unakuta hadi steering imechubuka ila unaambiwa ina 63k
 
Shukurani kutuongezea madini Mkuu, nyingine unakuta hadi steering imechubuka ila unaambiwa ina 63k
Sure nilisahau kutaja na steering, imechubuka imekwaruzwa na pete kila upande, kuna jamaa yangu aliwahi kupigwa tena aliagiza gari Befoward ni Ist ( BH427758) ukizigoogle hizi namba itakuja hiyo ist wame list kuwa ilikua na 6000 kms, angalia kwa umakini sana picha zake, speedometer inasoma buku 6, jamaa akashawishika akanunua.

Gari imefika bongo shoo ya kwanza ina miss za hatari ikiwashwa inatetemeka kama generator na imechoka kupita kiasi inatoa moshi mweupe .

NB. Gari ilinunuliwa mwaka jana (Kipindi gari zinakaguliwa Japani) .Sasa bas gari baada ya kuinunua zile document za Inspection report walivyo zi upload kwenye CAP, ndo zikatusanua kuwa gari ilikua na kilometer 106,000 km (paper mileage) ila kwenye actual mileage wakafuta 10 ikabaki 6000 ndo ina display ( wanasemaga ni ku cloack mileage).. ikabidi ni mueleweshe mshkaji gari kapigwa na wajapan ..angalia hiyo inspection report ya japan nime attach hapo chini..

Gari iko kwenye meli inakuja bongo tukaanza kuchapana email na beforward full kuchimbana mikwara ya kufunguliana kesi na kuikataa gari jamaa wana chomoa tu wana sema nao walinunua hivo hivo mnadani. Ikabidi jamaa aikubali tu kishingo upande baada ya kufika gari ndo alichoka zaidi na zile miss, plus pedal zimechoka, usukani umechoka, siti ya dereva kigodoro kimelala, gear lever imechubukaa ile silver .Ilikua ni balaa tu

Kwahiyo kupigwa hata nje unaweza pigwa piaa, lesson tujifunze ku pay attention to details sana , tuwe inquisitive na curious.

FOLLOW HII LINK kama itafunguka uone hiyo chuma

 

Attachments

Sure nilisahau kutaja na steering, imechubuka imekwaruzwa na pete kila upande, kuna jamaa yangu aliwahi kupigwa tena aliagiza gari Befoward ni Ist ( BH427758) ukizigoogle hizi namba itakuja hiyo ist wame list kuwa ilikua na 6000 kms, angalia kwa umakini sana picha zake, speedometer inasoma buku 6, jamaa akashawishika akanunua.

Gari imefika bongo shoo ya kwanza ina miss za hatari ikiwashwa inatetemeka kama generator na imechoka kupita kiasi inatoa moshi mweupe .

NB. Gari ilinunuliwa mwaka jana (Kipindi gari zinakaguliwa Japani) .Sasa bas gari baada ya kuinunua zile document za Inspection report walivyo zi upload kwenye CAP, ndo zikatusanua kuwa gari ilikua na kilometer 106,000 km (paper mileage) ila kwenye actual mileage wakafuta 10 ikabaki 6000 ndo ina display ( wanasemaga ni ku cloack mileage).. ikabidi ni mueleweshe mshkaji gari kapigwa na wajapan ..angalia hiyo inspection report ya japan nime attach hapo chini..

Gari iko kwenye meli inakuja bongo tukaanza kuchapana email na beforward full kuchimbana mikwara ya kufunguliana kesi na kuikataa gari jamaa wana chomoa tu wana sema nao walinunua hivo hivo mnadani. Ikabidi jamaa aikubali tu kishingo upande baada ya kufika gari ndo alichoka zaidi na zile miss, plus pedal zimechoka, usukani umechoka, siti ya dereva kigodoro kimelala, gear lever imechubukaa ile silver .Ilikua ni balaa tu

Kwahiyo kupigwa hata nje unaweza pigwa piaa, lesson tujifunze ku pay attention to details sana , tuwe inquisitive na curious.

FOLLOW HII LINK kama itafunguka uone hiyo chuma

Daaah Beforward nao hufanya huu uhuni kumbe Mkuu, ni hatari ndio maana binafsi sinunui gari kwa kuangalia mileage.

Kuna gari niliinunua hapa bongo kwenye Kampuni fulani ilikuwa inasoma 10,000Km ila kuna muda inaonekana namba ilifutwa ilikuwa na kilometer zaidi ya laki 2.
 
Tunapigwa tena sana na hivi Watz ni wavivu kutafuta vitu.
View attachment 2062873Kama hii Beforward inasoma 178,321 km lakini kuna page Insta niumeona inasoma 71,506 gari ni ile ile mileage tofauti. View attachment 2062881


HUU NI UTAPELI WA WAZI KABISA. Wakati huko mbele ukikuta gari nina low milage bei yake haikamatiki kabisa.
Watz tunapenda sana kuangalia Odo ndo maana twapigwa hapo.
Wakati muhimu ni kuangalia YOM
 
Kweli kabisa mkuu tunajipiga wenyewe tunaangalia mileage kwanza kabla ya yote, kuna mshikaji wangu wakati anatafuta gari alikuwa anataka mileage chini ya 50,000km akahangaika akapata Forester XT ina 45,000km kila tukionana anajisifia sasa hivi iko 49,000km. Nikamwambia hii michezo haamini kabisa anakwambia ajent aliyeniagizia ni shemeji yangu hawezi kunipiga.

Hizi kampuni za waswahili ni shida sana, kuna yard ukienda gari zao zimeenda mileage ila ni nzima mfano JanJapan hawana hii michezo ya kitoto.
Jan wanakula gari kama lilivyo, kama linahitaji matengenezo wanakwambia kabisa
 
Daaah Beforward nao hufanya huu uhuni kumbe Mkuu, ni hatari ndio maana binafsi sinunui gari kwa kuangalia mileage.

Kuna gari niliinunua hapa bongo kwenye Kampuni fulani ilikuwa inasoma 10,000Km ila kuna muda inaonekana namba ilifutwa ilikuwa na kilometer zaidi ya laki 2.
Ndo Michezo ya madalali
 
Wanajamvi habari zenu...

Nina jambo linanipa ukakasi kidogo, kuhusu haya magari yanayo uzwa na wabongo wenzetu kwenye page mbali mbali kama insta na kwingineko, ukakasi huo upo hasa kwenye uhalali wa Mileage ya gari husika au kilometa za gari linalouzwa. Japo kuna ukakasi mwingi zaidi ya mileage...

Ipo hivi gari nyingi za SUV mfano Subaru Forester, Harrier, Vanguard, Landcruiser, Dualis, na zinginezo. Gari hizi ukiziangalia kwenye mtandano Befoward. SBT, na page zingine za Japan kwa gari za bei affordable unakuta nyingi gari hizo zina kilometa nyingi kuanzia 110,000 nakuendelea. Zenye mileage ndogo lazima utakuta bei yake imesimama sana na kupelekea kushindwa kuinunua kutoka Japan

Ukija kutafuta au kuangalia hizi za Bongo [emoji23] watu wanaagiza huko Japan, wanatumia then wanaziuza kwa sababu zao mbali mbali kupitia madalali wa page za insta,zoom na kupatana, sasa hizi gari cha kushangaza zina kuwa na low mileage kupita uhalisia, mfano unakuta ina 75,000 kms, na bei anayo kuuzia ni ya kawaida tu, na gari namba ya plate sio ya muda mrefu sana, yaani namba D...,

Hapa nina wasiwasi saana kuwa hizi gari zinashushwa kilometa kwahyo tunapigwa sana,nimeweka mifano kwa picha, tusaidiane mawazo
View attachment 1800662
View attachment 1800663
View attachment 1800664
Sababu ni kodi kandamizi za kuingiza gari.Unakuta kodi ya gari la zero km ni zaidi ya gari lenyewe.

Ndio maana tunaendesha magari chakavu
 
Back
Top Bottom