GREGO
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,279
- 2,921
Nyingine imesajiliwa kwa namba BNS ila inasoma 68,000km na inetengenezwa 2002. Hivi kweli miaka 19 gari itembee km hizo sawa na wasitani wa 9.9km kwa siku Japan na Bongo.Ndo Michezo ya madalali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyingine imesajiliwa kwa namba BNS ila inasoma 68,000km na inetengenezwa 2002. Hivi kweli miaka 19 gari itembee km hizo sawa na wasitani wa 9.9km kwa siku Japan na Bongo.Ndo Michezo ya madalali
Kabisa mkuu, kuna jamaa yangu alinunua X-Trail pale walimwambia ukweli wa mapungufu yake.Jan wanakula gari kama lilivyo, kama linahitaji matengenezo wanakwambia kabisa
Alinunua vlbei gan?Kabisa mkuu, kuna jamaa yangu alinunua X-Trail pale walimwambia ukweli wa mapungufu yake.
Bongo dalali akibaki maskini. Kataka mwenyewe. Wabongo bado ujinga mwingiNyingine imesajiliwa kwa namba BNS ila inasoma 68,000km na inetengenezwa 2002. Hivi kweli miaka 19 gari itembee km hizo sawa na wasitani wa 9.9km kwa siku Japan na Bongo.View attachment 2065498
Mkuu Niliwahi kusikia kwamba bora ukanunua gari lenye 120+kms huko japan,,,, coz huwa yanafanyiwa service kubwa yakifikisha 100k kmBongo hatari sana...
Unakuta kagari kameshazurura kuliko mbwa koko..
Kanapigwa rangi, kanaogeshwa, kanashushwa mileage...
Anasubiriwa mteja mwenye wenge..[emoji2957][emoji2957][emoji2960][emoji2960]
Nilishawahi kusema na leo narudia, ni afadhali uagize gari Japan lenye km 1500k kuliko kununua bongo lenye km 600k
Hata mimi nimewahi kusikia maneno kama hayo ila sina uhakikam..binafsi niliagiza gari Japan likiwa na km 110000 na moaka sasa linakaribia km 170000....sijawahi kuligusa chochote kwenye engine zaidi ya Plugs na servise ya oil.....na ignition coil moja...Mkuu Niliwahi kusikia kwamba bora ukanunua gari lenye 120+kms huko japan,,,, coz huwa yanafanyiwa service kubwa yakifikisha 100k km
Hapo kuna ukweli??
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]wahuni siyo watu wazuriKuna jamaa aliniambia wanaipiga jk alafu inawekwa reverse
Nyingine imesajiliwa kwa namba BNS ila inasoma 68,000km na inetengenezwa 2002. Hivi kweli miaka 19 gari itembee km hizo sawa na wasitani wa 9.9km kwa siku Japan na Bongo.View attachment 2065498
Ilikuwa 13.8Mil Mkuu ya mwaka 2003 na ilikuwa na 102,000km. Haikuwa na gesi ya AC, Ilikuwa imebonyea kidogo, tairi hazikuwa sawa vingine vyote vilikuwa sawa.Alinunua vlbei gan?
Kweli hapo niliwapenda wanakwambia ukweliJan wanakula gari kama lilivyo, kama linahitaji matengenezo wanakwambia kabisa
Madalali wa pale round about ya Mliman city Ni kwikwigari za kibongo zimezeeshwa sana kwa kilometa za uzurulaji kapita kwenye kila aina ya njia mbovu makorongo na mabonde.. bado mtu akushuhie mileage. Muda wa kubadili timing chain/belt nani anao?
Mkuu Kuna hii jamaa kapunguza kilomita 100,000Wanajamvi habari zenu...
Nina jambo linanipa ukakasi kidogo, kuhusu haya magari yanayo uzwa na wabongo wenzetu kwenye page mbali mbali kama insta na kwingineko, ukakasi huo upo hasa kwenye uhalali wa Mileage ya gari husika au kilometa za gari linalouzwa. Japo kuna ukakasi mwingi zaidi ya mileage...
Ipo hivi gari nyingi za SUV mfano Subaru Forester, Harrier, Vanguard, Landcruiser, Dualis, na zinginezo. Gari hizi ukiziangalia kwenye mtandano Befoward. SBT, na page zingine za Japan kwa gari za bei affordable unakuta nyingi gari hizo zina kilometa nyingi kuanzia 110,000 nakuendelea. Zenye mileage ndogo lazima utakuta bei yake imesimama sana na kupelekea kushindwa kuinunua kutoka Japan
Ukija kutafuta au kuangalia hizi za Bongo [emoji23] watu wanaagiza huko Japan, wanatumia then wanaziuza kwa sababu zao mbali mbali kupitia madalali wa page za insta,zoom na kupatana, sasa hizi gari cha kushangaza zina kuwa na low mileage kupita uhalisia, mfano unakuta ina 75,000 kms, na bei anayo kuuzia ni ya kawaida tu, na gari namba ya plate sio ya muda mrefu sana, yaani namba D...,
Hapa nina wasiwasi saana kuwa hizi gari zinashushwa kilometa kwahyo tunapigwa sana,nimeweka mifano kwa picha, tusaidiane mawazo
View attachment 1800662
View attachment 1800663
View attachment 1800664
hapa ndio tunaposema bora kuagiza mwenyewe
Duuh. Dalali kajiongeza.
Wanabadilije Hizo KM elimu kidogo hapaNdugu yangu ata Japan wenyewe kuna baadhi ya makampuni yana tabia ya kubadilisha - yaani kupungua kiasi cha KMs ambazo gari imeshatembea. Iliwahi kunipata nilibaki kuwawakia kwenye simu. Bongo nadhani inaweza kuwa zaidi .
Kazi za watu hizoWanabadilije Hizo KM elimu kidogo hapa