Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

Labda atakwambia ni ya mwaka 2020 wakati toleo la mwisho nadhani 2015

Inawezekana kaka
Ila uhakika UKIAGIZA mwenyewe Japan.
Mimi niliagiza ALLION ya 2003 ina 23,971 km (ONE OWNER)
IMG_6607.jpg

.
Labda kama Japan wana hiyo michezo.

Ila nilivyo ichukua bandarini kila mtu alikuwa anashangaaa (Walidhani nimeitoa TOYOTA TANZANIA [emoji16]) ndani ilivyo haikuwa na doa hata kidigo.
Tena ilikuwa ya mdada maana nilikuta mambo ya kike kike ya Make-up kwenye Glove box.

Ukitaka kuagiza agiza mwenyewe yaani usiwe na papara kuna website wanauza gari tamu sana.
Sisi tumewazoea Befoward ila ukitulia kuna Website za japan unapata kitu kizuri sana.
 
Japani hawana huo ujinga na mamlaka hukagua ila kuna grade za magari kulingana na mwaka uliotengenezwa. Lakini ukiagiza gari nje ya Japan tegemea sana kupigwa
Inawezekana kaka
Ila uhakika UKIAGIZA mwenyewe Japan.
Mimi niliagiza ALLION ya 2003 ina 23,971 km (ONE OWNER)View attachment 2133117
.
Labda kama Japan wana hiyo michezo.

Ila nilivyo ichukua bandarini kila mtu alikuwa anashangaaa (Walidhani nimeitoa TOYOTA TANZANIA [emoji16]) ndani ilivyo haikuwa na doa hata kidigo.
Tena ilikuwa ya mdada maana nilikuta mambo ya kike kike ya Make-up kwenye Glove box.

Ukitaka kuagiza agiza mwenyewe yaani usiwe na papara kuna website wanauza gari tamu sana.
Sisi tumewazoea Befoward ila ukitulia kuna Website za japan unapata kitu kizuri sana.
 
Inawezekana kaka
Ila uhakika UKIAGIZA mwenyewe Japan.
Mimi niliagiza ALLION ya 2003 ina 23,971 km (ONE OWNER)View attachment 2133117
.
Labda kama Japan wana hiyo michezo.

Ila nilivyo ichukua bandarini kila mtu alikuwa anashangaaa (Walidhani nimeitoa TOYOTA TANZANIA [emoji16]) ndani ilivyo haikuwa na doa hata kidigo.
Tena ilikuwa ya mdada maana nilikuta mambo ya kike kike ya Make-up kwenye Glove box.

Ukitaka kuagiza agiza mwenyewe yaani usiwe na papara kuna website wanauza gari tamu sana.
Sisi tumewazoea Befoward ila ukitulia kuna Website za japan unapata kitu kizuri sana.

Upo sahihi, juzi niliona IST km 28k tuu, na mshkaji wangu pia alipata gari km 7k tuu japan na bei chee. Wabongo wengi wamezoea Beforward kumbe kuna machimbo ya maana sanaaa
 
Upo sahihi, juzi niliona IST km 28k tuu, na mshkaji wangu pia alipata gari km 7k tuu japan na bei chee. Wabongo wengi wamezoea Beforward kumbe kuna machimbo ya maana sanaaa
Ikikupendeza yataje hayo machimbo ya maana mkuu
 
Inawezekana kaka
Ila uhakika UKIAGIZA mwenyewe Japan.
Mimi niliagiza ALLION ya 2003 ina 23,971 km (ONE OWNER)View attachment 2133117
.
Labda kama Japan wana hiyo michezo.

Ila nilivyo ichukua bandarini kila mtu alikuwa anashangaaa (Walidhani nimeitoa TOYOTA TANZANIA [emoji16]) ndani ilivyo haikuwa na doa hata kidigo.
Tena ilikuwa ya mdada maana nilikuta mambo ya kike kike ya Make-up kwenye Glove box.

Ukitaka kuagiza agiza mwenyewe yaani usiwe na papara kuna website wanauza gari tamu sana.
Sisi tumewazoea Befoward ila ukitulia kuna Website za japan unapata kitu kizuri sana.

Nje ta topic, Uliagiza SBI? Vipi huduma zao?
 
Upo sahihi, juzi niliona IST km 28k tuu, na mshkaji wangu pia alipata gari km 7k tuu japan na bei chee. Wabongo wengi wamezoea Beforward kumbe kuna machimbo ya maana sanaaa

Ni sahihi [emoji736]
 
Nje ta topic, Uliagiza SBI? Vipi huduma zao?

Huduma ziko vizuri sikuona usumbufu,
Na bei zao wanapunguza sana Mimi nilipunguziwa USD 350.

Gharama mpaka kuitoa bandarini ilikuwa around 13.5 Mil
 
Mkuu, Je SBI wanae wakala huku bongo?

Ndiyo wanaye yuko pale POSTA USHIRIKA Tower
Sema sasa ukiwatumia mawakala wao kuna kibei kinaongezeka kidogo,
Sema gari ikifika Tanzania unapewa SERVICE ya Kubadilisha OIL Bure na coupon ya Matengenezo kama ya Tsh 100,000/=

Sema bei itaongezeka kidogo Ni bora usimamie mwenyewe mkuu.View attachment 2135677
 
Ndiyo wanaye yuko pale POSTA USHIRIKA Tower
Sema sasa ukiwatumia mawakala wao kuna kibei kinaongezeka kidogo,
Sema gari ikifika Tanzania unapewa SERVICE ya Kubadilisha OIL Bure na coupon ya Matengenezo kama ya Tsh 100,000/=

Sema bei itaongezeka kidogo Ni bora usimamie mwenyewe mkuu.View attachment 2135677
Wapo poa sana, Shukrani
 
Nimepitia page ya sbimotor.com bei zao ziko chini sana na wana gari nzuri
Bei zao ni FOB mzee sio CIF ukiingia kichwa kichwa unapigwa kitu kizito balaa...in fact nimelinganisha na Be forward ambao wao ni CIF ni almost the same
 
Bei zao ni FOB mzee sio CIF ukiingia kichwa kichwa unapigwa kitu kizito balaa...in fact nimelinganisha na Be forward ambao wao ni CIF ni almost the same

Hata pamoja na CIF, bei zao bado ziko chini kuliko makampuni mengi na hasa ukizingatia ubora wa magari yao, na wana magari mazuri zaidi ya Beforward
 
Back
Top Bottom