Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

Ni fraud mbaya sana hizi kufanyika kwa level ya kampuni. Nakumbuka kuna jamaa yangu alininua IST Befoward akijua ni low mileage kumbe ducuments za inspection zimeonesha paper mileage ni kms 106,000 ila kwenye odometer gari ina soma 6,000kms na gear lever imechakaa kinoma , kapeti ya miguu karibu na accelerator pedal imelika kwa kisigino[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji706]
 
Japan hawana huo ujinga na kamwe hawawezi kufanya hvyo. Export Certificate itawaumbua.
 
Kaka nna kesi kama yako hiyo cjui unanisaidiaje

Hiyo gari itashushwa mikeage ikifika tu kea sababu ni kitendo cha dakika chavhe tu. Labda ungekuwa na agent wako lakimi kwa taratibu za bandari si rahisi ukaisimamia. So solution ni kuwaiomalia kuanzia sasa na kuwaonyesha ushahidi keamba hiyo gari haina hiyo mileage, kuwaonya utawashyaki pia na kuwachomea na kuwaharibia
 
Kaka mpaka sasa nsharipoti mpaka police....ila police wameniambia nisubiri gari ifike then itafanyiwa ukaguzi
 
Hapa bado nipo dilemma ila nasikilizia documents za gari nione tu tunabanana vipi...mana wao waliniambia gari ina km 36000 lakini baada ya kupata chasis number nakuta gari ina km 183000km 😥
Mkuu haya mambo yanasikitisha sana....

Nakushauri hold hiyo hela nusu mpaka ukague gari itakapofika. Muandikishiane kila kitu. Then baada ya ukaguzi ukiridhika na gari chukua. Usiporidhika wakupe chako....
 
Back
Top Bottom