Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

Unajua nilkuwa naogopa security ya pesa kuagiza direct lakini ni bora hvy kuliko kutumia hawa agents wa ndani.ni wazinguaji mno na wengi wao ni waongo
Shughuli ni hapo kwny kurudisha pesa naona hawa jamaa watanisumbua sana na ctokubali kuchukua hiyo gari hata iweje
 
Fahari motors...wapo Mwenge na Dodoma
Dah pole sana mkuu hao jamaa wamejipanga wapo kama wa4 pale kwa kakobe michezo yao kwenye magari ni michafu sana, wananunua gari zinakaribia km 300,000 kwa bei sawa na bure, halafu zinakuja bongo wanazipiga polish waxing na kushusha kilometa, wanachora chora zile chaki kwenye vioo ukienda unakubali gari imeshuka jana kwenye meli. Washtaki tuu
 
Dah pole sana mkuu hao jamaa wamejipanga wapo kama wa4 pale kwa kakobe michezo yao kwenye magari ni michafu sana, wananunua gari zinakaribia km 300,000 kwa bei sawa na bure, halafu zinakuja bongo wanazipiga polish waxing na kushusha kilometa, wanachora chora zile chaki kwenye vioo ukienda unakubali gari imeshuka jana kwenye meli. Washtaki tuu
Ndo hao hao fahari motors?.....mm ctomaliza pesa kwa gari ambayo cjaipenda so tutasumbuana sana tuu na wala cna haraka na gari
 
Wanajamvi habari zenu...

Nina jambo linanipa ukakasi kidogo, kuhusu haya magari yanayo uzwa na wabongo wenzetu kwenye page mbali mbali kama insta na kwingineko, ukakasi huo upo hasa kwenye uhalali wa Mileage ya gari husika au kilometa za gari linalouzwa. Japo kuna ukakasi mwingi zaidi ya mileage...

Ipo hivi gari nyingi za SUV mfano Subaru Forester, Harrier, Vanguard, Landcruiser, Dualis, na zinginezo. Gari hizi ukiziangalia kwenye mtandano Befoward. SBT, na page zingine za Japan kwa gari za bei affordable unakuta nyingi gari hizo zina kilometa nyingi kuanzia 110,000 nakuendelea. Zenye mileage ndogo lazima utakuta bei yake imesimama sana na kupelekea kushindwa kuinunua kutoka Japan

Ukija kutafuta au kuangalia hizi za Bongo watu wanaagiza huko Japan, wanatumia then wanaziuza kwa sababu zao mbali mbali kupitia madalali wa page za insta,zoom na kupatana, sasa hizi gari cha kushangaza zina kuwa na low mileage kupita uhalisia, mfano unakuta ina 75,000 kms, na bei anayo kuuzia ni ya kawaida tu, na gari namba ya plate sio ya muda mrefu sana, yaani namba D...,

Hapa nina wasiwasi saana kuwa hizi gari zinashushwa kilometa kwahyo tunapigwa sana,nimeweka mifano kwa picha, tusaidiane mawazo
View attachment 1800662
View attachment 1800663
View attachment 1800664
Gari lazima ununue toka Japan na wanakupa kitu kama hiki hapo chini
 

Attachments

[emoji28][emoji28][emoji28]...Kaka 14Milion ni nyingi mno na hapo bado nyingne ya kumalizia gari ikifika
Daah pole sana, wewe hata hamna cha kuwazia hapo hasara watakula wao wakileta ujuaji, sema kwako watakupotezea muda tu ndio hasara kubwa kwako, ila io gari inabidi uondoke nayo bila kuongeza hata mia wakigoma waue mahakamani ikiwezekana uitishe na press kabisa uwachafulie kampuni ushahidi si upo nje nje kabisa. [emoji3][emoji3]
 
Daah pole sana, wewe hata hamna cha kuwazia hapo hasara watakula wao wakileta ujuaji, sema kwako watakupotezea muda tu ndio hasara kubwa kwako, ila io gari inabidi uondoke nayo bila kuongeza hata mia wakigoma waue mahakamani ikiwezekana uitishe na press kabisa uwachafulie kampuni ushahidi si upo nje nje kabisa. [emoji3][emoji3]
Kabsa mkuu..Kila wakipost biashara yao naenda kuwaumbua kwny page yao
 
Back
Top Bottom