Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

Nmetoa 14.2M bado 14.2M gari ikifika
Tafuta wakili mkuu, fungua case inayohusisha forgery mkutane mahakaman as long ushahd unao.

Na mahakamani napo panahitaji subira, sababu hz mahakama za chini chenga ni nyingi sana.

Wakikuchezea michezo, appeal mpaka ifike high court au court of appeal haki zako utazipata, na damages utalipwa.

Ingekuwa mm wangezitapika wala sitanii, na damages wangelipa.
 
Tafuta wakili mkuu, fungua case ya forgery mkutane mahakaman as long ushahd unao.

Na mahakamani napo panahitaji subira, sababu hz mahakama za chini chenga ni nyingi sana.

Wakikuchezea michezo, appeal mpaka ifike high court au court of appeal haki zako utazipata, na damages utalipwa.

Ingekuwa mm wangezitapika wala sitanii, na damages wangelipa.
Khsante kwa ushauri mkuu
 
Dah pole sana mkuu hao jamaa wamejipanga wapo kama wa4 pale kwa kakobe michezo yao kwenye magari ni michafu sana, wananunua gari zinakaribia km 300,000 kwa bei sawa na bure, halafu zinakuja bongo wanazipiga polish waxing na kushusha kilometa, wanachora chora zile chaki kwenye vioo ukienda unakubali gari imeshuka jana kwenye meli. Washtaki tuu
Kuna mmoja jina la kampuni yake linaanzia na kifaa cha kuwekea nyanya, yupo hapo karibu na mlimani city,ni hatari kwa huu ujinga
 
Ni fraud mbaya sana hizi kufanyika kwa level ya kampuni. Nakumbuka kuna jamaa yangu alininua IST Befoward akijua ni low mileage kumbe ducuments za inspection zimeonesha paper mileage ni kms 106,000 ila kwenye odometer gari ina soma 6,000kms na gear lever imechakaa kinoma , kapeti ya miguu karibu na accelerator pedal imelika kwa kisigino[emoji23]
Ila si wanasema gari ikifika 100k kwa japan inafanyiwa overall? au ni maneno tu ya mtaani?
 
Wewe nae unajichanganya Sasa pale JanPapan mbona wapo waswahili wenzetu? Labda ungesema mtu aagize mwenyewe. Niliwahi kwenda kuuliza Mitsubishi Outlander nikaambiwa 27m TZS wakati mtandaoni mpaka kufika Bongo 16.5m TZS
Mimi nmewahi ingia pale kule ndani mwisho kushoto wana garage wanapiga gari zao rangi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
ni gari ya aina gani hiyo total 28 unayotakiwa kuwapa?
Ilikuwa Toyota kulger ya mwaka 2006 yenye 45000km Asa baada ya Inspection wakasema inashida so kuna Kulger nyingne ila ni ya mwaka 2004 ina lowmileage Asa ndo hapo waliponiagizia ya ajabu coz ina mileage 183000 na usukani umelika sana baada ya kupata chasisi namba na kuisearch
 
Hawa usiwamalizie hel iliyo baki, komaa nao kataa hata mpelekane mahakamani, una advantage ya kuwashinda, kwasababu kama wamekubadilishia gari nyingine kutoka ya 2006 kuja 2004 means wanaweza kufanya tena kukubadilishia nyingine utakayo itaka, na kama watakomaa sana waambie huwapi hela chukua hiyo hiyo kwa 14, ifike mahali wawajibishwe
 
Nimekuja na uzi mwingine, ukiona mtu kapost chassis namba ya gari na ile gari kaiagizia Befoward.. ichukue ile chassis number kama ilivyo igoogle, ilegari itakuja kama ilivokua listed na Befoward wakati inauzwa ikague zile picha nenda mpaka kwenye picha inayoonesha odometer reading utacheka ufe.. nakupa mfano gari hii apa chini naipost.. na nnaenda kuitafuta befoward ilivokua listed. Jaman tuache ukitonga na uvivu wa kutafta maarifa mapya, haya magari tuyaagize wenyewe tu hakuna mateso yoyote unayoweza kuya pata kwa kusubiri meli ifike mwezi mmoja mpaka miwili.View attachment 1890299
Gari inauzwa na dalali wa kibongo anaandika uongo uongo. Ukiichukua hiyo chassis namba ukaweka google ngoma zinakuja kama hivi chini[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] cheki mileage halisi ya gari, jamaa kaamua kuficha hiyo laki kasema gari ina 51000km[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1890301
View attachment 1890302
View attachment 1890303
View attachment 1890304

This is unethical, and should be abolished ASAP
 
Ila si wanasema gari ikifika 100k kwa japan inafanyiwa overall? au ni maneno tu ya mtaani?

Si kweli, hawafanyi overhaul. Wanabadili vitu kama timing belt labda plugs etc. ila kimsingi ni zile service muhimu kulingana na mileage.
 
Ilikuwa Toyota kulger ya mwaka 2006 yenye 45000km Asa baada ya Inspection wakasema inashida so kuna Kulger nyingne ila ni ya mwaka 2004 ina lowmileage Asa ndo hapo waliponiagizia ya ajabu coz ina mileage 183000 na usukani umelika sana baada ya kupata chasisi namba na kuisearch
Mambo yasiwe mengi mkuu.

Waambie hiyo gari huitaki. Ingia mtandaoni chagua gari unayoitaka na umeridhika nayo then waambie wakuletee hiyo.

Ambayo wameileta ina shida ya mileage waambie huitaki.

Otherwise warudishe hela yako.
 
Shughuli ni hapo kwny kurudisha pesa naona hawa jamaa watanisumbua sana na ctokubali kuchukua hiyo gari hata iweje
Mimi niliwalipa milioni 18.8... Gari ilivyofika nikakagua sikuridhika na walishasajili kwa jina langu...

Nikadai changu waliuza gari kwa 17.5m wakanirudishia hiyo. .. Nimehangaishana nao sna kumalizia iliyobaki wakanipa 200k bado 1.1m naamini watamaliza inshallah....
 
Hawa usiwamalizie hel iliyo baki, komaa nao kataa hata mpelekane mahakamani, una advantage ya kuwashinda, kwasababu kama wamekubadilishia gari nyingine kutoka ya 2006 kuja 2004 means wanaweza kufanya tena kukubadilishia nyingine utakayo itaka, na kama watakomaa sana waambie huwapi hela chukua hiyo hiyo kwa 14, ifike mahali wawajibishwe
Good advice🙏
 
Mimi niliwalipa milioni 18.8... Gari ilivyofika nikakagua sikuridhika na walishasajili kwa jina langu...

Nikadai changu waliuza gari kwa 17.5m wakanirudishia hiyo. .. Nimehangaishana nao sna kumalizia iliyobaki wakanipa 200k bado 1.1m naamini watamaliza inshallah....
😁😁😁🙌🙌🙌...Safi sana
 
Mambo yasiwe mengi mkuu.

Waambie hiyo gari huitaki. Ingia mtandaoni chagua gari unayoitaka na umeridhika nayo then waambie wakuletee hiyo.

Ambayo wameileta ina shida ya mileage waambie huitaki.

Otherwise warudishe hela yako.
Nashkuru mkuu kwa ushauri....khsante sana
 
Back
Top Bottom