Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

Andaa 450,000 TZS vijana wapige kazi kwenye 250,000kms tunaondoa hiyo 2 ya mwanzo oldometer itasoma 50,000kms fresh ndani ya dakika 45 tu
 
Inawezekana kaka
Ila uhakika UKIAGIZA mwenyewe Japan.
Mimi niliagiza ALLION ya 2003 ina 23,971 km (ONE OWNER)View attachment 2133117
.
Labda kama Japan wana hiyo michezo.

Ila nilivyo ichukua bandarini kila mtu alikuwa anashangaaa (Walidhani nimeitoa TOYOTA TANZANIA [emoji16]) ndani ilivyo haikuwa na doa hata kidigo.
Tena ilikuwa ya mdada maana nilikuta mambo ya kike kike ya Make-up kwenye Glove box.

Ukitaka kuagiza agiza mwenyewe yaani usiwe na papara kuna website wanauza gari tamu sana.
Sisi tumewazoea Befoward ila ukitulia kuna Website za japan unapata kitu kizuri sana.
Kama websites ipi
 
Aisee kuna jamaa yangu majuzi kanunua Harrier show room Odometer inasoma 75k km.

Nikamwonesha huu uzi akabisha, tukaserch chasis no inspected milage ikaja 198,203 km jamaa akachanganyikiwa [emoji23]
Ameingia kichwa kichwa kwenye Showroom ya wahuni. Alishindwa kujiridhisha kwa kuangalia hali ya siti ya dereva, bodi ya gari na injini.

Kuna Showrooms chache km hawazichakachui.
 
Aisee kuna jamaa yangu majuzi kanunua Harrier show room Odometer inasoma 75k km.

Nikamwonesha huu uzi akabisha, tukaserch chasis no inspected milage ikaja 198,203 km jamaa akachanganyikiwa [emoji23]
Hii gari ni Mazda CX3 ipo Instagram inauzwa kwa wauza magari, ametangaza gari imetembea km 38,000
IMG-20241004-WA0009.jpg


ila kwa ukaguzi uliofanyika Japan kabla ya kuletwa Tanzania gari ilikuwa na km 188,121.
IMG-20241004-WA0008.jpg


Angalia km zilivyochakachuliwa alafu utauziwa gari kwa bei ya juu sana kwasababu imetembea km chache kumbe ni ushenzi
 
Aisee kuna jamaa yangu majuzi kanunua Harrier show room Odometer inasoma 75k km.

Nikamwonesha huu uzi akabisha, tukaserch chasis no inspected milage ikaja 198,203 km jamaa akachanganyikiwa [emoji23]
Hapo hana la kufanya zaidi ya kutukana matusi yoye na kujilaani
 
Hii gari ni Mazda CX3 ipo Instagram inauzwa kwa wauza magari, ametangaza gari imetembea km 38,000
View attachment 3115185

ila kwa ukaguzi uliofanyika Japan kabla ya kuletwa Tanzania gari ilikuwa na km 188,121.
View attachment 3115186

Angalia km zilivyochakachuliwa alafu utauziwa gari kwa bei ya juu sana kwasababu imetembea km chache kumbe ni ushenzi
Kuna jamaa wana show room wanauza gari zao nyingi ni Km 40,000's tu. Hawana gari yenye 80k.....sina hakika kama wa abongo wengi hatujui kuhakiki mileage au ndo jamaa wanaendelea tu kupiga wasiojua. Shida ni kwamba usipojua hutafanya service zinazoendana na mileage sahihi ya gari.
I wish watu wengi zaidi wajue hili ili show rooms wawe wakweli kama Jan international. Gari ina 180k wanaiandika hiyo na ukinunua unajua unanunua nini.
Ukipata kujua mileage zinavyochezewa bongo, unaweza usinujue gari showroom
 
Kuna jamaa wana show room wanauza gari zao nyingi ni Km 40,000's tu. Hawana gari yenye 80k.....sina hakika kama wa abongo wengi hatujui kuhakiki mileage au ndo jamaa wanaendelea tu kupiga wasiojua. Shida ni kwamba usipojua hutafanya service zinazoendana na mileage sahihi ya gari.
I wish watu wengi zaidi wajue hili ili show rooms wawe wakweli kama Jan international. Gari ina 180k wanaiandika hiyo na ukinunua unajua unanunua nini.
Ukipata kujua mileage zinavyochezewa bongo, unaweza usinujue gari showroom
Nyingine hii hapa inauzwa ikiwa na km 80,600 wakati km halisi kabla ya kuja Tanzania ilikuwa 209,716.

HUU NI USHENZI UNAOFANYWA NA BAADHI YA WAYZAJI WA MAGARI TANZANIA.
IMG-20241006-WA0009.jpg


Screenshot_20241006_084529_Tiramis.jpg


Screenshot_20241006_084521_Chrome.jpg


Hizi Mazda CX5 za diesel za miaka ya nyuma kama 2013 sio rahisi kuzikuta zikiwa na km chini ya laki 1
 
Vitu vingine ni common sense. Gari ina miaka tisa halafu unaambiwa ina mileage 60k. Maanake inatembea average of 6k kwa mwaka na service itakuwa imefanya say mara 7 tangu mpya. This is utterly impossible.
 
Back
Top Bottom