Sure nilisahau kutaja na steering, imechubuka imekwaruzwa na pete kila upande, kuna jamaa yangu aliwahi kupigwa tena aliagiza gari Befoward ni Ist ( BH427758) ukizigoogle hizi namba itakuja hiyo ist wame list kuwa ilikua na 6000 kms, angalia kwa umakini sana picha zake, speedometer inasoma buku 6, jamaa akashawishika akanunua.
Gari imefika bongo shoo ya kwanza ina miss za hatari ikiwashwa inatetemeka kama generator na imechoka kupita kiasi inatoa moshi mweupe .
NB. Gari ilinunuliwa mwaka jana (Kipindi gari zinakaguliwa Japani) .Sasa bas gari baada ya kuinunua zile document za Inspection report walivyo zi upload kwenye CAP, ndo zikatusanua kuwa gari ilikua na kilometer 106,000 km (paper mileage) ila kwenye actual mileage wakafuta 10 ikabaki 6000 ndo ina display ( wanasemaga ni ku cloack mileage).. ikabidi ni mueleweshe mshkaji gari kapigwa na wajapan ..angalia hiyo inspection report ya japan nime attach hapo chini..
Gari iko kwenye meli inakuja bongo tukaanza kuchapana email na beforward full kuchimbana mikwara ya kufunguliana kesi na kuikataa gari jamaa wana chomoa tu wana sema nao walinunua hivo hivo mnadani. Ikabidi jamaa aikubali tu kishingo upande baada ya kufika gari ndo alichoka zaidi na zile miss, plus pedal zimechoka, usukani umechoka, siti ya dereva kigodoro kimelala, gear lever imechubukaa ile silver .Ilikua ni balaa tu
Kwahiyo kupigwa hata nje unaweza pigwa piaa, lesson tujifunze ku pay attention to details sana , tuwe inquisitive na curious.
FOLLOW HII LINK kama itafunguka uone hiyo chuma