Kilwa Beach Lodge iweke tangazo rasmi kama haitaki waafrika na watanzania

Kilwa Beach Lodge iweke tangazo rasmi kama haitaki waafrika na watanzania

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Shalom,

Jukwaa mnisamehe na fuatilia kwa wana kilwa masoko mtapata ukweli wote.

Ndugu wanajamii na watanzania kwa ujumla, kipekee wana kilwa masoko, ujumbe umfikie Madam Lilian wa Kilwa Beach Lodge, aweke tangazo la maandishi na sauti yake ijulikane bayana kuwa hataki kuwapa huduma waafrika na watanzania weusi kwa ujumla.

Ujumbe umfikie kabla sijaweka sauti na video za wateja wakilalamika.

Afanye haraka sana kuutangazia umma wa watanzania na Africa nzima juu ya msimamo wake kutoa huduma na kukaribisha wateja waafrika na watanzania weusi.

Nawasilisha.

Wadiz
 
Shalom,

Jukwaa mnisamehe na fuatilia kwa wana kilwa masoko mtapata ukweli wote.

Ndugu wanajamii na watanzania kwa ujumla, kipekee wana kilwa masoko, ujumbe umfikie Madam Lilian wa Kilwa Beach Lodge, aweke tangazo la maandishi na sauti yake ijulikane bayana kuwa hataki kuwapa huduma waafrika na watanzania weusi kwa ujumla.

Ujumbe umfikie kabla sijaweka sauti na video za wateja wakilalamika.

Afanye haraka sana kuutangazia umma wa watanzania na Africa nzima juu ya msimamo wake kutoa huduma na kukaribisha wateja waafrika na watanzania weusi.

Nawasilisha.

Wadiz
Unakuwa umejipinda Kwa muda mrefu pengine kutafuta mtaji lakini unaajili wafanyakazi ambao hawawezi kuhudumia wateja kwa weledi, halafu unatafuta mchawi
 
Hebu tupe scenario kwa urefu na mapana. Maana hii kero sio wewe wa kwanza kuisema.

Halafu tabia ya wadada wahudumu kuendekeza udangaji eneo la kazi, wazungu huwa wanatip so wanawashobokea zaidi kuliko waafrika.
 
Unakuwa umejipinda Kwa muda mrefu pengine kutafuta mtaji lakini unaajili wafanyakazi ambao hawawezi kuhudumia wateja kwa weledi, halafu unatafuta mchawi
Ni jeuri ya mwafrika kuolewa na mzungu, na familia ya mke kujigeuza wazungu wenye ubaguzi wa watu wao, hii sio hadithi ndivyo kilwa Beach Lodge ifanyavyo kwa wateja watanzania weusi
 
Hebu tupe scenario kwa urefu na mapana. Maana hii kero sio wewe wa kwanza kuisema.

Halafu tabia ya wadada wahudumu kuendekeza udangaji eneo la kazi, wazungu huwa wanatip so wanawashobokea zaidi kuliko waafrika.
Huyo madam na meneja ndugu yake ndio msimamo wao dhidi ya wabongo weusi, fanya ufike ujionee Wahudumu wanakatazwa kuhudumia wabongo weusi
 
Ni jeuri ya mwafrika kuolewa na mzungu, na familia ya mke kujigeuza wazungu wenye ubaguzi wa watu wao, hii sio hadithi ndivyo kilwa Beach Lodge ifanyavyo kwa wateja watanzania weusi
Mnaenda kutafuta nn hapo? Si muende huko kwenye gest level zenu. Anapaswa kuweka Bango kuwa Weusi hawatakiwi hata kukaribia hapo (umbali wa Mita 500)
 
Shalom,

Jukwaa mnisamehe na fuatilia kwa wana kilwa masoko mtapata ukweli wote.

Ndugu wanajamii na watanzania kwa ujumla, kipekee wana kilwa masoko, ujumbe umfikie Madam Lilian wa Kilwa Beach Lodge, aweke tangazo la maandishi na sauti yake ijulikane bayana kuwa hataki kuwapa huduma waafrika na watanzania weusi kwa ujumla.

Ujumbe umfikie kabla sijaweka sauti na video za wateja wakilalamika.

Afanye haraka sana kuutangazia umma wa watanzania na Africa nzima juu ya msimamo wake kutoa huduma na kukaribisha wateja waafrika na watanzania weusi.

Nawasilisha.

Wadiz
Uwasilishaji wako wa malalamiko siyo mzuri hata kidogo. Ni kama huna uhakika au unatishia wakati kwa jambo muhimu kama hili ulitakiwa uelezee kwa undani. Iko wapi? Inamilikiwa na na nani? Kwanini unasema kuna ubaguzi? Kwa uwasilishaji wako, hujatendea haki hili jukwaa.
 
Uwasilishaji wako wa malalamiko siyo mzuri hata kidogo. Ni kama huna uhakika au unatishia wakati kwa jambo muhimu kama hili ulitakiwa uelezee kwa undani. Iko wapi? Inamilikiwa na na nani? Kwanini unasema kuna ubaguzi? Kwa uwasilishaji wako, hujatendea haki hili jukwaa.
Fuatilia tembea uone
 
Uwasilishaji wako wa malalamiko siyo mzuri hata kidogo. Ni kama huna uhakika au unatishia wakati kwa jambo muhimu kama hili ulitakiwa uelezee kwa undani. Iko wapi? Inamilikiwa na na nani? Kwanini unasema kuna ubaguzi? Kwa uwasilishaji wako, hujatendea haki hili jukwaa.
Utakuta alitongoza demu mhudumu kanyinwa uchi kaja kuleta porojo zake humu,aweke ushahidi tuone
 
Shalom,

Jukwaa mnisamehe na fuatilia kwa wana kilwa masoko mtapata ukweli wote.

Ndugu wanajamii na watanzania kwa ujumla, kipekee wana kilwa masoko, ujumbe umfikie Madam Lilian wa Kilwa Beach Lodge, aweke tangazo la maandishi na sauti yake ijulikane bayana kuwa hataki kuwapa huduma waafrika na watanzania weusi kwa ujumla.

Ujumbe umfikie kabla sijaweka sauti na video za wateja wakilalamika.

Afanye haraka sana kuutangazia umma wa watanzania na Africa nzima juu ya msimamo wake kutoa huduma na kukaribisha wateja waafrika na watanzania weusi.

Nawasilisha.

Wadiz
kwani shida ninini? au mnaenda pale bila kuoga? ila sometimes wakati mwingine wabongo tunazingua. hujawahi kwenda hotelini ukakuta mtu anakula utafikiri mashine ya kuchakata kokoto, linapeng'a ovyo, chakula hadi kwenye ndevu hadi mteja mstaarabu harudi tena hapo kwasababu yake.
 
Back
Top Bottom