Kilwa Beach Lodge iweke tangazo rasmi kama haitaki waafrika na watanzania

Kilwa Beach Lodge iweke tangazo rasmi kama haitaki waafrika na watanzania

Utakuta alitongoza demu mhudumu kanyinwa uchi kaja kuleta porojo zake humu,aweke ushahidi tuone
Mkuu umewaza kama mimi. Au ni hisia zake tu kwa sababu ya inferiority complex. Angejaribu hata kuelezea kwa undani bila ushahidi ni kwa nini anatoa shutuma kubwa kama hizi. Badala yake anatuambie tuende sisi tukajionee.
 
kwani shida ninini? au mnaenda pale bila kuoga? ila sometimes wakati mwingine wabongo tunazingua. hujawahi kwenda hotelini ukakuta mtu anakula utafikiri mashine ya kuchakata kokoto, linapeng'a ovyo, chakula hadi kwenye ndevu hadi mteja mstaarabu harudi tena hapo kwasababu yake.
Pia na mikelele
 
Huyo madam na meneja ndugu yake ndio msimamo wao dhidi ya wabongo weusi, fanya ufike ujionee Wahudumu wanakatazwa kuhudumia wabongo weusi
Naunga mkono wabongo weusi wasihudumiwe wakilewa wanakuwa na makelele wazungu huwa hawapendi kelele wakiwa wanakunywa pombe au wakiwa wanakula chakula

Watu weusi nendeni huko uswahilini huko kunakuruhusiwa mikelele kaeni mbali na sehemu za wazungu
 
Rangi nyeusi= kipato kidogo
Hii ni kanuni yako kwa sababu huna exposure. Nyie ndiyo huwa mnafikiria kuwa wazungu wote wanazungumza kiingereza na wana fedha. Mkiona watalii wazungu mnasema ni watu wenye fedha nyingi sana. Mnadhani mtalii ni mtu mwenye ngozi nyeupe tu. Hamjui kuwa kuna watalii weusi kutoka nchi kama UK, Marekani na Uholanzi.
 
SHUSHA presha haya maisha yatakutia hasira ukiyachukulia serious...
Nenda Jimbiza My wangu.
Unadhani hata ana Jf???
 
Ngozi ya Taqo mna nongwa. Naunga mkono hoja ya mmiliki
Mnaenda kutafuta nn hapo? Si muende huko kwenye gest level zenu. Anapaswa kuweka Bango kuwa Weusi hawatakiwi hata kukaribia hapo.
Ubaguzi upo wapi hapo? Mmiliki ana haki ya kukataa wa kuja kwenye eneo lake kulingana na umri, KIPATO ( hapa ndo weusi hukwama)
Rangi nyeusi= kipato kidogo
Nimeshindwa hata nikujibu nini.
 
Naunga mkono wabongo weusi wasihudumiwe wakilewa wanakuwa na makelele wazungu huwa hawapendi kelele wakiwa wanakunywa pombe au wakiwa wanakula chakula

Watu weusi nendeni huko uswahilini huko kunakuruhusiwa mikelele kaeni mbali na sehemu za wazungu
NIlijua tu kuwa wewe ni idiot mmoja hivi, kada wa CCM.
 
Shalom,

Jukwaa mnisamehe na fuatilia kwa wana kilwa masoko mtapata ukweli wote.

Ndugu wanajamii na watanzania kwa ujumla, kipekee wana kilwa masoko, ujumbe umfikie Madam Lilian wa Kilwa Beach Lodge, aweke tangazo la maandishi na sauti yake ijulikane bayana kuwa hataki kuwapa huduma waafrika na watanzania weusi kwa ujumla.

Ujumbe umfikie kabla sijaweka sauti na video za wateja wakilalamika.

Afanye haraka sana kuutangazia umma wa watanzania na Africa nzima juu ya msimamo wake kutoa huduma na kukaribisha wateja waafrika na watanzania weusi.

Nawasilisha.

Wadiz
Mi nadhani maadam ni biashara yake na amewekeza.mwacheni muda utafika atatamani kuwapata wabongo wakati huo
watakuwa wamemtenga ndipo atalia kilio cha mbwa koko.

Hoteli zote zinaitwa kwa kiingereza '' hospitality industries'', nakumbuka miaka ya 90's enzi za sheraton Dar es salaam
ukiajiliwa lazima upige week mbili za training inayohusu mambo ya costumer care,na tuliambiwa usibague mtu yeyote
kwa muonekano wake,japo kulikuwa na maeneo kama vyumba ''suites'' ambavyo kama una hela fupi wewe mwenyewe utajibagua.Enzi hizo tulifanya biashara sana na watu wa nje walikuwa wengi kuliko waswahili,ila hakuna mswahili hata mmoja alibaguliwa kwa rangi yake.
 
Ubaguzi wa Kilwa Beach Lodge ni wa kishamba sana wanaruhusu wabongo weusi waingia ila Wahudumu wanakatazwa kuhudumia wabongo hao. Isikie kwa mwingine tembeeni muone
 
Rangi nyeusi= kipato kidogo
Kipato kidogo pia kinachangia weusi kutohudumiwa

MTU ananunua maji ya uhai madogo anakunywa saa mzima huku anakodolea kodolea nacho wazungu hadi haeajisikii Raha

huyo inasema mteja huyo

huyo mama Yuko sahihi kukataa kuhudumia waswahili ngozi nyeusi

Ile ni sehemu ya biashara ya watu wenye pesa zao kutumika sio kukaa ni kinywaji kidogo unakunywa saa mzima na kujipiga vipicha vya selfie na kisimu koko
 
Mi nadhani maadam ni biashara yake na amewekeza.mwacheni muda utafika atatamani kuwapata wabongo wakati huo
watakuwa wamemtenga ndipo atalia kilio cha mbwa koko.

Hoteli zote zinaitwa kwa kiingereza '' hospitality industries'', nakumbuka miaka ya 90's enzi za sheraton Dar es salaam
ukiajiliwa lazima upige week mbili za training inayohusu mambo ya costumer care,na tuliambiwa usibague mtu yeyote
kwa muonekano wake,japo kulikuwa na maeneo kama vyumba ''suites'' ambavyo kama una hela fupi wewe mwenyewe utajibagua.Enzi hizo tulifanya biashara sana na watu wa nje walikuwa wengi kuliko waswahili,ila hakuna mswahili hata mmoja alibaguliwa kwa rangi yake.
Sasa wao wanabagua live bila chenga
 
Namshukuru Mungu sipendi dharau. Nikienda sehemu huduma inachelewa kwa dakika nilizojiwekea naondokaga fasta, na sirudi tena hapo hata aniite Yesu au Muhammad
 
Back
Top Bottom