AiseHapo sawaa maana pale kilwa masoko jamaa wapo mda wote na siku zote na meli yao ya kisasa kabsa na bodi ,sio rahc kupenya labda kama wangetoa rushwa ...ila mjeshi kula rushwa duuh Mara chache au hakuna kabsa
Kusafirisha tani ishirini kwa siku na kuweka ndani tani ishirini ni vitu tofauti mzee.Ehh huko kwa masadali kuna watu wana mpk tani 20 zipo ndani
Ova
Hahaha noma na nusu!Hivi hatuwezi tukauuza tukamalizia lile bwawa la umeme.
Walio kamata ni wanajeshi na sio polisi nikukumbushe tu
Msukule Kindakindaki wa Jiwe!! Dunia hii hakuna nchi iliyowahi kufanikiwa kudhibiti ngada! Hata wakati wa Jiwe, matukio kibao yalitokea.Baada ya Mzee Magu kuondoka sasa watu wameamua kufanya dhihaka na zarau. Tani 2 kweli ndugu zangu?
Enzi za Magu watu kama hawa wangepotea wasijulikane wamepotelea wapi.
Wauza pembe za ndovu walipotea wengine walikimbia nchi. Ukikamatwa mbugani unahojiwa mtandao wako ukoje kisha unapotea na mtandao wako unapotea kuokoa tembo wetu.
Sasa Magufuli hayupo sijui kama tembo wetu watapona, sasa twiga watapakiwa kwenye guta ama majaji mchana kweupe badala ya ndege.
Wauza madawa ya kulevya watarudi kwa nguvu kubwa, zile njozi za viatu zitaanza kuning'inia kwenye nguzo za umeme muda si mrefu kuonyesha location ya wauza madawa ya kulevya.
Wewe zezeta kama Mazezeta wengine.Msukule Kindakindaki wa Jiwe!! Hivi wale ambao walitajwa na Bashite walifanywa nini?! Au Bashite aliwasingizia tu? NI mjinga tu ndie anaweza kuamini wakati wa Jiwe watu waliacha kusafirisha dawa za kulevya! Na kwa kukumbusha tu, kuna madogo walidakwa wakiwa na heroin 30 kg ndani! Zilifikaje fikaje hapo ndani? Au walikuwa wanazalisha humo humo ndani? Kila mwenye akili zake alishuhudia ambacho kilifanywa na Serikali ya Jiwe ni skua-harrass mateja lakini wale barons wanaendelea kula maisha!!! Ok! Endeleeni kumpamba lakini ni porojo zitakazoingia akili mwa mapoyoyo aina yako lakini Jiwe ni Mwizi tu! Na kama ni mwizi, no surprise kuona ali-deal na punda huku akiacha barons!
Nyumbu wa mbowe, zero brain 🧠.Msukule Kindakindaki wa Jiwe!! Dunia hii hakuna nchi iliyowahi kufanikiwa kudhibiti ngada! Hata wakati wa Jiwe, matukio kibao yalitokea.
Tunagawana kwa ajili ya matumizi ya nyumbani;JOKING🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓Hivi mzigo kama huu ukishakamtwa hatua gani ufuata juu ya mzigo wenyewe!?
Ni watu wawili tu walioifanya kazi yao vyema pale DCEA,ni Nzowa na Siang'a,basi.Mizigo mikubwa hivi kupitishwa hivi inaonekana sio mara moja, ndio njia yao. Inawezekana mwenye mzigo alikuwa chini ya mbawa za JPM, sasa hana kinga watu wamemkaanga.
Wewe bado unaweweseka na Magufuli tu?!Tuliokua tunasema now hatuna raisi Naona mnaanza kutuelewa tu taratibu ... rest in power magufuli
Wangeukamata Polisi , huo Mzigo usingefika Kituoni.
Rejea wale Polisi Majambazi enzi za Zombe
Hahaha wazee ligi yenu haishi na jamaaNyumbu wa mbowe, zero brain [emoji3447].
Naamanisha huko watu wana mastockKusafirisha tani ishirini kwa siku na kuweka ndani tani ishirini ni vitu tofauti mzee.
nilikuwa natoa maoni tu, unaweza kusimama na unalolihisi wewe......mi bado siamini kama linapotea ila naamini kuwa kuna watu (kama wewe) wanaoomba mchana na usiku lipotee ili malengo yao yatimie; liko wazi kabisa hilo. Mungu atamlinda mama dhihi ya husda na mahusda yenyewe!!nyumbu acheni ujinga taifa linapotea bana!!
Pakistana hawana Shamba la kulima heroin.Pakistan si ndio shambani mkuu.
Wajanja kuingia maabara na kufanya change na unga wa mahindi.Hivi mzigo kama huu ukishakamtwa hatua gani ufuata juu ya mzigo wenyewe!?
unajua bei ya heroin kilo moja we jamaa???Price ya huo mzigo hata Bombardier moja hainunui sembuse Sgr kuwa serious ndugu.
$10000 Tanzania.unajua bei ya heroin kilo moja we jamaa???