Kilwa Masoko, Lindi: Zaidi ya Tani moja ya Dawa za Kulevya yakamatwa

Hapo sawaa maana pale kilwa masoko jamaa wapo mda wote na siku zote na meli yao ya kisasa kabsa na bodi ,sio rahc kupenya labda kama wangetoa rushwa ...ila mjeshi kula rushwa duuh Mara chache au hakuna kabsa
Aise

Ova
 
Elewa kitu kimoja hapa,baada ya magu kubana uingizaji wa madawa kwa njia hii ya majahazi,njia iliyokuwa inatumika ni waletaji
Kutumia nchi ya msumbiji,na kutoka hapo ndipo wabongo wakawa wanafata huko na kuingiza tanzania,ndomana kuna wakati ulikuwa unaona kuna watu wanakamatwa mtwara etc
Style ya wauzaji hawa wakiona njia inakuwa ngumu wanakuja na plan b mpaka c ilimradi
Watimize azma yao Hakimu Mfawidhi

Ova
 
Msukule Kindakindaki wa Jiwe!! Dunia hii hakuna nchi iliyowahi kufanikiwa kudhibiti ngada! Hata wakati wa Jiwe, matukio kibao yalitokea.
 
Wewe zezeta kama Mazezeta wengine.

Umeshikwa akili na zero brain Mbowe.

Kweli aliewaita nyumbu hakukosea.
 
Hivi mzigo kama huu ukishakamtwa hatua gani ufuata juu ya mzigo wenyewe!?
Tunagawana kwa ajili ya matumizi ya nyumbani;JOKING🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓
 
Mizigo mikubwa hivi kupitishwa hivi inaonekana sio mara moja, ndio njia yao. Inawezekana mwenye mzigo alikuwa chini ya mbawa za JPM, sasa hana kinga watu wamemkaanga.
Ni watu wawili tu walioifanya kazi yao vyema pale DCEA,ni Nzowa na Siang'a,basi.
 
nyumbu acheni ujinga taifa linapotea bana!!
nilikuwa natoa maoni tu, unaweza kusimama na unalolihisi wewe......mi bado siamini kama linapotea ila naamini kuwa kuna watu (kama wewe) wanaoomba mchana na usiku lipotee ili malengo yao yatimie; liko wazi kabisa hilo. Mungu atamlinda mama dhihi ya husda na mahusda yenyewe!!
 
Pakistan si ndio shambani mkuu.
Pakistana hawana Shamba la kulima heroin.

Mashamba yapo Afghanistan.
Pakistani ni madealers tu na wote wapo hapo.
Kule Afghanistan hakufikiki wala hapafanyiki chochote .

Kinachofanyika ni kuleta mzigo Pakistan au Iran ili safari ianze kwa usalama.
 
Hivi mzigo kama huu ukishakamtwa hatua gani ufuata juu ya mzigo wenyewe!?
Wajanja kuingia maabara na kufanya change na unga wa mahindi.

Hakuna uaminifu ktk madawa.
Ndy maana unaona badilisha badilisha ya kitengo kila wakati.
 
Jaman Si ndo wawekezaji wenyewe hao washaanza kuingia nchini au hamkumuelewa Mama Samia?, serikali yenyewe ishasema inawatengenezea mazingira rafiki wawekezaji kutoka nje waje kuwekeza nchini, mi hakuna hata kilichonishtua hapo.

Kazi iendelee, Ccm mbele kwa mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…