HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Ungekuwa wa CIA usingedakwaUna akili sana mkuu, BIG UP....mimi nimeenda mbali zaidi, huu mzigo ni wa CIA kwa akili zangu za kutizamia kwenye muvi!
View attachment 1762816
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekuwa wa CIA usingedakwaUna akili sana mkuu, BIG UP....mimi nimeenda mbali zaidi, huu mzigo ni wa CIA kwa akili zangu za kutizamia kwenye muvi!
View attachment 1762816
Huu mzigo ukiuzwa tunaweza kuimaliza SGR,na kumaliza madeni ya ATCL,Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na kikosi cha wana maji cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania wamekamata zaidi ya tani mbili ya dawa za kulevya aina ya Heroin.
Kazi iendelee,naona wauza unga wanajaribu kupima upepo,pongezi kwa serikali ya awamu ya sita
======
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na kikosi cha wanamaji cha JWTZ imewakamata watu saba wakisafirisha dawa za kulevya aina ya heroin zaidi ya tani moja kwa kutumia jahazi. Dawa hizo zimekamtwa eneo la Kilwa Masoko mkoani Lindi.
View attachment 1762634View attachment 1762635View attachment 1762636
Price ya huo mzigo hata Bombardier moja hainunui sembuse Sgr kuwa serious ndugu.Huu mzigo ukiuzwa tunaweza kuimaliza SGR,na kumaliza madeni ya ATCL,
Miaka ya 70,CIA ilikuwa inaingiza madawa ya kulevya USA,ikishirikiana na Drug cartels,pesa iliyopatikana ilitumika kugharamia vita latin america,cambodia,Vietnam,
Huu mzigo tuuingize kitaa,hata nchi jirani,watahathitika watu wachache lakini,mapato yatakayopatikana,nchi itafaidika.
Wakati wa magu mizigo ilipitabila kukamatwa tuipongez awamu hiiMambo yameanza,baada ya JPM
Huu mzigo ukiuzwa tunaweza kuimaliza SGR,na kumaliza madeni ya ATCL,
Huu mzigo tuuingize kitaa,hata nchi jirani,watahathitika watu wachache lakini,mapato yatakayopatikana,nchi itafaidika.
Kiteja hicho kimesema anko wake anauza, si ajabu kapewa kitengo cha kuonja,hata sijaelewa!!
kwamba mamlaka ziachane na kufatilia usafirishaji wa unga? ili iweje ?
Ndiye aliyeiteka nafas ya prince alopita?Bashite kaingiaje tena hapo mkuu?? 😀
Everyday is Saturday................................😎
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na kikosi cha wana maji cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania wamekamata zaidi ya tani mbili ya dawa za kulevya aina ya Heroin.
Kazi iendelee,naona wauza unga wanajaribu kupima upepo,pongezi kwa serikali ya awamu ya sita
======
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na kikosi cha wanamaji cha JWTZ imewakamata watu saba wakisafirisha dawa za kulevya aina ya heroin zaidi ya tani moja kwa kutumia jahazi. Dawa hizo zimekamtwa eneo la Kilwa Masoko mkoani Lindi.
View attachment 1762634View attachment 1762635View attachment 1762636
Biashara ya handsome wa taifa. Anyway, tusubiri tuone mazezeta wanavyoongezeka mtaani.Baada ya Mzee Magu kuondoka sasa watu wameamua kufanya dhihaka na zarau. Tani 2 kweli ndugu zangu?
Enzi za Magu watu kama hawa wangepotea wasijulikane wamepotelea wapi.
Wauza pembe za ndovu walipotea wengine walikimbia nchi. Ukikamatwa mbugani unahojiwa mtandao wako ukoje kisha unapotea na mtandao wako unapotea kuokoa tembo wetu.
Sasa Magufuli hayupo sijui kama tembo wetu watapona, sasa twiga watapakiwa kwenye guta ama majaji mchana kweupe badala ya ndege.
Wauza madawa ya kulevya watarudi kwa nguvu kubwa, zile njozi za viatu zitaanza kuning'inia kwenye nguzo za umeme muda si mrefu kuonyesha location ya wauza madawa ya kulevya.
Hii ni serikali ya awamu ya sita bila uchaguzi. Mambo ni ruksa. Ukiona hadi Jakaya anahudhuria hotuba ya mama bungeni ujue mambo ni moto. Hakuwahi kuhudhuria hotuba za Magu zote.Huku ni kumpima Sa100.......yani saizi wanakuja tu wanaona kama nchi haina uongozi vile......Mama Sa100 waonyeshe hawa wajinga
Kazi imeanza,"mimi ni Rais mwenye jinsia ya like"Baada ya Mzee Magu kuondoka sasa watu wameamua kufanya dhihaka na zarau. Tani 2 kweli ndugu zangu?
Enzi za Magu watu kama hawa wangepotea wasijulikane wamepotelea wapi.
Wauza pembe za ndovu walipotea wengine walikimbia nchi. Ukikamatwa mbugani unahojiwa mtandao wako ukoje kisha unapotea na mtandao wako unapotea kuokoa tembo wetu.
Sasa Magufuli hayupo sijui kama tembo wetu watapona, sasa twiga watapakiwa kwenye guta ama majaji mchana kweupe badala ya ndege.
Wauza madawa ya kulevya watarudi kwa nguvu kubwa, zile njozi za viatu zitaanza kuning'inia kwenye nguzo za umeme muda si mrefu kuonyesha location ya wauza madawa ya kulevya.
Hata hapa East Africa- wa iman hiyo wanabidii katika magendo hayoNimeangalia hayo majina ya wapambanaji na mwezi huu mtukufu ni aibu kusafirisha biashara ya aina hiyo
Huenda ngada yaletwa ili kudonea uchaguzi ujaoHii ni serikali ya awamu ya sita bila uchaguzi. Mambo ni ruksa. Ukiona hadi Jakaya anahudhuria hotuba ya mama bungeni ujue mambo ni moto. Hakuwahi kuhudhuria hotuba za Magu zote.
Jiulize kulikoni.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Mzigo wa mwenye mizigo ya aina hii. Hakuna uchaguzi na kila kitu. Simba kaenda zake, swala wameanza kutamba. Tutakiona cha moto.Huenda ngada yaletwa ili kudonea uchaguzi ujao
ACHA UNAFIKI,KWANI WAKATI WA MAGUFULI HUKO KWENU MATEJA YALITOWEKA?,JIBU MATEJA YALIKUWEPO,JE WALIKUWA WANAVUTA NINI?,NA JE WALIUPATA WAPI?Baada ya Mzee Magu kuondoka sasa watu wameamua kufanya dhihaka na zarau. Tani 2 kweli ndugu zangu?
Enzi za Magu watu kama hawa wangepotea wasijulikane wamepotelea wapi.
Wauza pembe za ndovu walipotea wengine walikimbia nchi. Ukikamatwa mbugani unahojiwa mtandao wako ukoje kisha unapotea na mtandao wako unapotea kuokoa tembo wetu.
Sasa Magufuli hayupo sijui kama tembo wetu watapona, sasa twiga watapakiwa kwenye guta ama majaji mchana kweupe badala ya ndege.
Wauza madawa ya kulevya watarudi kwa nguvu kubwa, zile njozi za viatu zitaanza kuning'inia kwenye nguzo za umeme muda si mrefu kuonyesha location ya wauza madawa ya kulevya.
kwani nimetukana?ukitukana na kukejeli unapata nafuu sana mkuu? mambo mengine usipoyaelewa unayaacha tu yapite na muda ambao unautumia kuyaangalia unautumia kwa kazi nyingine!
Wanafanya hivo kuzuga watu sio katika nafsi zaoH
Mkuu hao wa Pakistan si ndio washika dini na sunna za mtume inakuwaje tena wako huku?