Kilwa Masoko, Lindi: Zaidi ya Tani moja ya Dawa za Kulevya yakamatwa

Kilwa Masoko, Lindi: Zaidi ya Tani moja ya Dawa za Kulevya yakamatwa

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na kikosi cha wana maji cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania wamekamata zaidi ya tani mbili ya dawa za kulevya aina ya Heroin.

Kazi iendelee,naona wauza unga wanajaribu kupima upepo,pongezi kwa serikali ya awamu ya sita

======

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na kikosi cha wanamaji cha JWTZ imewakamata watu saba wakisafirisha dawa za kulevya aina ya heroin zaidi ya tani moja kwa kutumia jahazi. Dawa hizo zimekamtwa eneo la Kilwa Masoko mkoani Lindi.

View attachment 1762634View attachment 1762635View attachment 1762636
Huu mzigo ukiuzwa tunaweza kuimaliza SGR,na kumaliza madeni ya ATCL,
Miaka ya 70,CIA ilikuwa inaingiza madawa ya kulevya USA,ikishirikiana na Drug cartels,pesa iliyopatikana ilitumika kugharamia vita latin america,cambodia,Vietnam,
Huu mzigo tuuingize kitaa,hata nchi jirani,watahathitika watu wachache lakini,mapato yatakayopatikana,nchi itafaidika.
 
Huu mzigo ukiuzwa tunaweza kuimaliza SGR,na kumaliza madeni ya ATCL,
Miaka ya 70,CIA ilikuwa inaingiza madawa ya kulevya USA,ikishirikiana na Drug cartels,pesa iliyopatikana ilitumika kugharamia vita latin america,cambodia,Vietnam,
Huu mzigo tuuingize kitaa,hata nchi jirani,watahathitika watu wachache lakini,mapato yatakayopatikana,nchi itafaidika.
Price ya huo mzigo hata Bombardier moja hainunui sembuse Sgr kuwa serious ndugu.
 
Unataka kumaliza nguvu kazi ya taifa (vijana)!!?

Impact yake after some years kwa taifa unaiona lakini!???

Don't say that shit again.

Huu mzigo ukiuzwa tunaweza kuimaliza SGR,na kumaliza madeni ya ATCL,

Huu mzigo tuuingize kitaa,hata nchi jirani,watahathitika watu wachache lakini,mapato yatakayopatikana,nchi itafaidika.
 
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na kikosi cha wana maji cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania wamekamata zaidi ya tani mbili ya dawa za kulevya aina ya Heroin.

Kazi iendelee,naona wauza unga wanajaribu kupima upepo,pongezi kwa serikali ya awamu ya sita

======

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na kikosi cha wanamaji cha JWTZ imewakamata watu saba wakisafirisha dawa za kulevya aina ya heroin zaidi ya tani moja kwa kutumia jahazi. Dawa hizo zimekamtwa eneo la Kilwa Masoko mkoani Lindi.

View attachment 1762634View attachment 1762635View attachment 1762636
Baada ya Mzee Magu kuondoka sasa watu wameamua kufanya dhihaka na zarau. Tani 2 kweli ndugu zangu?

Enzi za Magu watu kama hawa wangepotea wasijulikane wamepotelea wapi.

Wauza pembe za ndovu walipotea wengine walikimbia nchi. Ukikamatwa mbugani unahojiwa mtandao wako ukoje kisha unapotea na mtandao wako unapotea kuokoa tembo wetu.

Sasa Magufuli hayupo sijui kama tembo wetu watapona, sasa twiga watapakiwa kwenye guta ama majaji mchana kweupe badala ya ndege.

Wauza madawa ya kulevya watarudi kwa nguvu kubwa, zile njozi za viatu zitaanza kuning'inia kwenye nguzo za umeme muda si mrefu kuonyesha location ya wauza madawa ya kulevya.
Biashara ya handsome wa taifa. Anyway, tusubiri tuone mazezeta wanavyoongezeka mtaani.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Huku ni kumpima Sa100.......yani saizi wanakuja tu wanaona kama nchi haina uongozi vile......Mama Sa100 waonyeshe hawa wajinga
Hii ni serikali ya awamu ya sita bila uchaguzi. Mambo ni ruksa. Ukiona hadi Jakaya anahudhuria hotuba ya mama bungeni ujue mambo ni moto. Hakuwahi kuhudhuria hotuba za Magu zote.

Jiulize kulikoni.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya Mzee Magu kuondoka sasa watu wameamua kufanya dhihaka na zarau. Tani 2 kweli ndugu zangu?

Enzi za Magu watu kama hawa wangepotea wasijulikane wamepotelea wapi.

Wauza pembe za ndovu walipotea wengine walikimbia nchi. Ukikamatwa mbugani unahojiwa mtandao wako ukoje kisha unapotea na mtandao wako unapotea kuokoa tembo wetu.

Sasa Magufuli hayupo sijui kama tembo wetu watapona, sasa twiga watapakiwa kwenye guta ama majaji mchana kweupe badala ya ndege.

Wauza madawa ya kulevya watarudi kwa nguvu kubwa, zile njozi za viatu zitaanza kuning'inia kwenye nguzo za umeme muda si mrefu kuonyesha location ya wauza madawa ya kulevya.
Kazi imeanza,"mimi ni Rais mwenye jinsia ya like"
 
Nimeangalia hayo majina ya wapambanaji na mwezi huu mtukufu ni aibu kusafirisha biashara ya aina hiyo
Hata hapa East Africa- wa iman hiyo wanabidii katika magendo hayo
 
Hii ni serikali ya awamu ya sita bila uchaguzi. Mambo ni ruksa. Ukiona hadi Jakaya anahudhuria hotuba ya mama bungeni ujue mambo ni moto. Hakuwahi kuhudhuria hotuba za Magu zote.

Jiulize kulikoni.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Huenda ngada yaletwa ili kudonea uchaguzi ujao
 
Baada ya Mzee Magu kuondoka sasa watu wameamua kufanya dhihaka na zarau. Tani 2 kweli ndugu zangu?

Enzi za Magu watu kama hawa wangepotea wasijulikane wamepotelea wapi.

Wauza pembe za ndovu walipotea wengine walikimbia nchi. Ukikamatwa mbugani unahojiwa mtandao wako ukoje kisha unapotea na mtandao wako unapotea kuokoa tembo wetu.

Sasa Magufuli hayupo sijui kama tembo wetu watapona, sasa twiga watapakiwa kwenye guta ama majaji mchana kweupe badala ya ndege.

Wauza madawa ya kulevya watarudi kwa nguvu kubwa, zile njozi za viatu zitaanza kuning'inia kwenye nguzo za umeme muda si mrefu kuonyesha location ya wauza madawa ya kulevya.
ACHA UNAFIKI,KWANI WAKATI WA MAGUFULI HUKO KWENU MATEJA YALITOWEKA?,JIBU MATEJA YALIKUWEPO,JE WALIKUWA WANAVUTA NINI?,NA JE WALIUPATA WAPI?
 
Huo mzigo una ukakasi mkubwa sana kupata tafsiri yake, Jeshi letu liwe makini sana huko Kusini mwa nchi. Kuna kitu naona kimeguswa pabaya. Huo mzigo nadhani ulikuwa ni wa Palma kwenda Dizonga na pesa irudi Palma kuendeleza mapambano.
 
Maamaa mamaaa mama huyo mamma huyo eeh mama huyo mamma.
Mkwere anarudisha majeshi kwa kasi sana
 
Back
Top Bottom