kwa asiyefikiri sawasawa anaweza kutoa bonge la LIKE kwenye comment hii. ila kwa tunaofikiri sawasawa kuna uwezekano tukajiuliza/kuwaza yafuatayo kuhusu tukio la kukamatwa hayo madawa na comment hii ya huyu mdau aliyeitoa;
1. je, haiwezekani kwamba hiyo ilikuwa kawaida yao kwa muda mrefu tu (pengine way back 2015 huko) na ndo maana wakawa na confidence ya kusafirisha mzigo mkubwa hivyo? kwa biashara ya kujaribu tu, tena ya hatari kama hiyo, KAMWE hakuna taahira wa kujaribu kwa kiwango hicho ghafla bin vuuu tu.
2. je, haiwezekani kuwa mtoa comment huyu ndiyo wale 'wapigania legacy' wa mheshimiwa aliyetangulia na hapa amekimbilia haraka ili kuja kufifisha hongera yoyote ambayo pengine ingetolewa kwa wanausalama hawa waliofanikisha jambo hili walio chini ya mama yetu Samia? natafakari tu kwa sauti!!!
fact: wazoefu hao, hawakuanza leo wala jana!