Kilwa Masoko, Lindi: Zaidi ya Tani moja ya Dawa za Kulevya yakamatwa

Yaani hao kabla ya kutoa maelezo nikuminya kwanza p*mbu mpaka zipasuke

KWA BAHATI MBAYA HAWA JAMAA TUNAWAENDEKEZA KWA KUWAPELEKA MAHAKAMANI!! KAMA ALIVYOKUWA ANASEMA MAREHEMU ABEID KARUME " UMEMKAMATA MTU KAIBA MKUNGU WA NDIZI , HUYU NI MWIZI KEBA UNAMPELEKA MAHAKAMANI KUFANYA NINI?" MAANA YAKE HAWA HUKUMU YAO ISICHELEWE!!!
 
Naona kama kawaida ya wana-jf wameanza kuufanyia habari hii ya kisiasa, shame!
Mzigo kama huu ni hatari Sana, sio kwa watumiaji la hasha, mwenye mzigo anaweza kukodi makomandoo (wapo wanajeshi waliostaafu mamluki ambao Kazi zao ni pamoja ni missions kama hizi) wakaja kukomboa huo mzigo kijeshi!) Au wakiona mbinu hiyo imefeli wanatawanya rushwa ya KUTISHA kuanzia tume ya kudhibiti madawa hadi kwenye baraza la mawaziri, kuna kisa kama hiki cha kukamata mzigo mkubwa kiliiacha Ikulu ya Nairobi enzi hizo matako nje, maafisa usalama na raia wema waliuawa! Jamani tuweke siasa pembeni hii ni hatari, ukibidi tuombe msaada kwa Mzee Joe Biden!
 
Tuliokua tunasema now hatuna raisi Naona mnaanza kutuelewa tu taratibu ... rest in power magufuli
Kwa hio kama wasingepatikana na kukamatwa na taarifa kutoka ndio ingemaanisha tuna raisi. Who knows kama huu haukuwa mtindo wa jiwe na kokoto zake? hakika ufisadi mkubwa kuliko kipindi chochote umetokea kwenye awamu yake mnatueleza nini kuhusu hili?
 
Pongezi nyingi sana kwa vyombo vyetu, haswa kwa JWTZ na kikosi maaalum cha kupambana na Madawa ya Kilevya.

kweli sasa mmedhamiria. kukamata zaidi ya tani 1!! safi sana, sasa kamateni mtandao wote unao jihusisha.

mtandao....mtandao....mtandao
 
Sio kwamba aliifanya hiyo biashara iwe ya wachache wale tu walio ndani ya cycle yake?
 
Ehh huko kwa masadali kuna watu wana mpk tani 20 zipo ndani

Ova
 
Hivyo unfikiri maandalizi ya mzigo mkubwa kama huo yameanza baada ya MWENDAZAKE kwendazake?
 
Am shocked for sure duh....
watu kama hao siyo wa kuanza kupiga pich hapo ushaweka ushahidi public hao unamalizana nao huko huko badda ya kujua network yao basi
 
Ukionganisha nukta za promo ya CNN na kimbunga kupiga pwani ukanda wa Tanzania na mzigo wa tani mbili za heroin hata kama hujui kusoma unaiona picha ya kilichokuwa kinaendelea.
Una akili sana mkuu, BIG UP....mimi nimeenda mbali zaidi, huu mzigo ni wa CIA kwa akili zangu za kutizamia kwenye muvi!
 
Una kiwango gani cha elimu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…