Kilwa Masoko, Lindi: Zaidi ya Tani moja ya Dawa za Kulevya yakamatwa

Kilwa Masoko, Lindi: Zaidi ya Tani moja ya Dawa za Kulevya yakamatwa

Hata mkichukia ila Magu alipunguza madawa kwa kiasi kikubwa mtaani,we endelea kishikiwa kichwa.
Aya kaufukueni ule mzoga muujaze upepo uwe kiongozi wenu misukule ya kisukuma,, na ukiambiwa uho mzigo hao walikuwa wanampelekea nani hutoamini mbu,zi ww
 
Aya kaufukueni ule mzoga muujaze upepo uwe kiongozi wenu misukule ya kisukuma,, na ukiambiwa uho mzigo hao walikuwa wanampelekea nani hutoamini mbu,zi ww
We hata ukimchukia ila jamaa alipambana na madawa na alifanikiwa kupunguza madawa mtaani,we wendelea kushikiwa kichwa.
 
Kuwaonyesha nchi ipo imara ndio ivyo vyombo vyetu imara vya ulinzi vimewadaka,,bashite ajiandae
Bashite kaingiaje tena hapo mkuu?? 😀

Everyday is Saturday................................😎
 
Baada ya Mzee Magu kuondoka sasa watu wameamua kufanya dhihaka na zarau. Tani 2 kweli ndugu zangu?

Enzi za Magu watu kama hawa wangepotea wasijulikane wamepotelea wapi.

Wauza pembe za ndovu walipotea wengine walikimbia nchi. Ukikamatwa mbugani unahojiwa mtandao wako ukoje kisha unapotea na mtandao wako unapotea kuokoa tembo wetu.

Sasa Magufuli hayupo simui kama tembo wetu watapona, sasa twiga watapakiwa kwenye guta ama majaji mchana kweupe badala ya ndege.

Wauza madawa ya kulevya watarudi kwa nguvu kubwa, zile njozi za viatu zitaanza kuning'inia kwenye nguzo za umeme muda si mrefu kuonyesha location ya wauza madawa ya kulevya.
Nenda kamfufue
 
Sasa hiv wameshaanza kujitutumia hata magu hajaoza. Ipo sku watanzania tutakaa tutalia na kusaga meno tukitaman magu afufuke ila haiwezekani, hii ni trailer tu

Wanasema magu aliku dictator lakin Naona udikteta wake ulikua na manufaa sana nchi ilikua na ustaarabu na adabu
Acha ujinga
 
Baada ya Mzee Magu kuondoka sasa watu wameamua kufanya dhihaka na zarau. Tani 2 kweli ndugu zangu?

Enzi za Magu watu kama hawa wangepotea wasijulikane wamepotelea wapi.

Wauza pembe za ndovu walipotea wengine walikimbia nchi. Ukikamatwa mbugani unahojiwa mtandao wako ukoje kisha unapotea na mtandao wako unapotea kuokoa tembo wetu.

Sasa Magufuli hayupo simui kama tembo wetu watapona, sasa twiga watapakiwa kwenye guta ama majaji mchana kweupe badala ya ndege.

Wauza madawa ya kulevya watarudi kwa nguvu kubwa, zile njozi za viatu zitaanza kuning'inia kwenye nguzo za umeme muda si mrefu kuonyesha location ya wauza madawa ya kulevya.
Hao tembo wasumbufu natural predators wao ni majangili warudi tu, sehemu kubwa ya Morogoro tumezira kulima kwa sababu ya hasara ya tembo, na serikali hailipi, kulipwa siyo sustainable.

Madawa hayajawahi kuisha, hawa watu wangeokotwa kwenye viroba Coco.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Sasa hiv wameshaanza kujitutumia hata magu hajaoza. Ipo sku watanzania tutakaa tutalia na kusaga meno tukitaman magu afufuke ila haiwezekani, hii ni trailer tu

Wanasema magu aliku dictator lakin Naona udikteta wake ulikua na manufaa sana nchi ilikua na ustaarabu na adabu
Binamu wewe ni 'pundit' mzuri sana linapokuja suala la gossips.

Naweza kusema you're the best in the country!

Ila kwa mtazamo wangu, huku kwenye masuala yanayofanana na siasa unapwaya
 
Mizigo mikubwa hivi kupitishwa hivi inaonekana sio mara moja, ndio njia yao. Inawezekana mwenye mzigo alikuwa chini ya mbawa za JPM, sasa hana kinga watu wamemkaanga.
Nakuona unavyojaribu kuhamisha magoli baada ya kupigwa tatu bila
 
Back
Top Bottom