Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ndiyo usafirishaji wao wamekuwa wakitumiaWadau huu mzigo mkubwa mnoooooo mnooooooooo
Nashangaa kwanini wameusafirisha ki local kiasi hicho yaani tani 2 za heroine au cocaine usafirishe kindezi hivyo?
Hao jamaa wanaujasiri na roho ngumu sana aisee yaani wamerisk maisha yao dadeq zao hao wapakistan!
Anyway tani mbili ni dharau kwa nchi yetu hao pimbi hao!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sio jela maisha tu, Inabidi wanyongwe live tushuhudie kwa runinga kama ilivyokua kwa Sadam Hussein...duh wote huo si kuuana na kupunguza nguvu kazi za taifa. Jela maisha inawahusu
Mabaharia baada ya kupata habari Kuna kimbunga jobu kinakuja ikabidi wasogeze chombo pwani, ila ndio hivyo tena chombo imenasa kwenye mikono salama.Sidhani Kama soko lengwa ni TZ, hiyo ni transit.
Huenda wakawa wa Iran ..Hao sio wapakistani?
Hii ni kwa Bei ya rejareja tu.Haifiki 80mln mkuu
Ova
Ngada ikiuzwa kwa rejareja inaweza fikia hiyo pesa..Hii ni kwa Bei ya rejareja tu.
Ndio Bei yake kwa rejareja hiyo.Ngada ikiuzwa kwa rejareja inaweza fikia hiyo pesa..
Lakini inaonekana sio watanzania hao.Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na kikosi cha wanamaji cha JWTZ imewakamata watu saba wakisafirisha dawa za kulevya aina ya heroin zaidi ya tani moja kwa kutumia jahazi. Dawa hizo zimekamtwa eneo la Kilwa Masoko mkoani Lindi.
View attachment 1762581View attachment 1762582View attachment 1762583
Kuna watu wakipenda wanakuwa vipofu sijawahi kusikia utawala wa magu kukamatwa na mzigo mkubwa hivi.Magu ameshafariki hawezi rudi tena naona nikukumbushe hilo. Madhaifu unayo yaona kwa Raisi wa sa hivi ndo ambayo walikuwa wakiona wengine wakati wa Magu.
Sema ulikuwa unamkubali sana magu hivyo kipindi chake huezi ukawa ulielewa alikuwa anakosea sana tu.
Madawa yalizibitiwa ndio ila bado yalipita na mateja walikuwepo wengi tuu.
Ili kuonesha polisi wamejitahidi ndo maana yameshikwa Au we ulitaka yasikamatwe yaingie mtaani? Au kutangazwa ndo shida?
Haifiki Mln 80 kwa kg1 heroinNdio Bei yake kwa rejareja hiyo.
Kwa sababu walikuwa wanashushia msumbiji ndy wanafanya mchakato wa kuingiza bongo,hii biashara ni sawa na mchezo wa paka na panyaKuna watu wakipenda wanakuwa vipofu sijawahi kusikia utawala wa magu kukamatwa na mzigo mkubwa hivi.
Maana yake mizigo ilikuwa inapita tu lkn mama kateua kiongozi mpya wa kuzuia madawa ndio tunaona matunda yake.
Walikua hawakamatwi ila wanawekwa kwenye virobaHao kipindi cha Magu walikuwa hawakamatwi, mama kaanza kazi kwa kishindo hakuna jiwe litaacha kuguswa
Kwa hiyo wewe unauza?Haifiki Mln 80 kwa kg1 heroin
Naweza kupa bei ya kuanzia kete,robo,nusu,hadi kg sema haitopendeza
Humu
Ova
Kwa hiyo Magofool ndio kawakamata?Acheni wawekezaji hao waje kazi iendelee, kwenye madawa magufuli atakumbukwa aliwabana hawa washenzi
street value heroin kg moja ni shingapi wakuu ?