Kilwa Masoko, Lindi: Zaidi ya Tani moja ya Dawa za Kulevya yakamatwa

Kilwa Masoko, Lindi: Zaidi ya Tani moja ya Dawa za Kulevya yakamatwa

Ukionganisha nukta za promo ya CNN na kimbunga kupiga pwani ukanda wa Tanzania na mzigo wa tani mbili za heroin hata kama hujui kusoma unaiona picha ya kilichokuwa kinaendelea.
MATAGA bana, kweli akili zenu ziliharibiwa kabisa a yule mganga wa kienyeji, kwa hiyo hata TMA nayo inashirikiana na CIA kuhadaa watanzania kuhusu kimbunga? nsa kimbunga hicho cha Jobo ndio cha kwanza kuripotiwa na hiyo CNN na vituo vingine Duniani|? 🤣 🤣Vita ya kiuchumi
 
Utawala wa magu mwenyeww kuna watu walikuwa wanaingiza wengine wanadakwa,wengine wanapenya
Hii biashara kuumaliza ni ngumu sana

Ova


Ngada hauwezi kuizuia 100% ,never

ishu ni kujitahidi kupunguza , hata huko China walipoendelea na sheria kali kali ila bado ngada inaingizwa km kawa..
 
Ngada hauwezi kuizuia 100% ,never

ishu ni kujitahidi kupunguza , hata huko China walipoendelea na sheria kali kali ila bado ngada inaingizwa km kawa..
Tena zile nchi zenye sheria kali ukikamatwa na unga hadi kunyongwa bei yake inakuwa juu..watu walivyowabishi bado wanaingiza
Achana na china, kna nchi kama indonesia na Malaysia wanasheria kali sanaaa lakini bado watu wanapeleka huko

Ova
 
Mtoa habar acha uongo hiv unaijua tani mbili ya unga wewe??
 
MATAGA bana, kweli akili zenu ziliharibiwa kabisa a yule mganga wa kienyeji, kwa hiyo hata TMA nayo inashirikiana na CIA kuhadaa watanzania kuhusu kimbunga?
ukitukana na kukejeli unapata nafuu sana mkuu? mambo mengine usipoyaelewa unayaacha tu yapite na muda ambao unautumia kuyaangalia unautumia kwa kazi nyingine!
 
Back
Top Bottom