Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kila siku wanabomoa na kujenga tena hapo ndo zinapita bodaboda tu imagine watabomoa mara ngapi mradi ukianza rasmiVituo vya barabata hiyo vimeanza kuharibiwa kabla haijaanza kutumika.
Mabomba ya kupokea maji ya mvua ambayo nayo hayana ubora vituoni yamevunjwa na magari na pikipiki zinazopita barabara hiyo.
Waifunge tu
Nani kama mama
Barabara haijakamilika. Lakini kuanzia Uhasibu hadi Posta ya zamani tunatumia njia za mwendokasi bila kizuizi chochote, sijui mleta mada anazungumzia kule Mbagala au mtongani huko. Jioni huwa napita njia ya mwendokasi kuanzia Station hadi Uhasibu na inasaidia sana kupunguza foleni.Barabara zimekamilika zamani ila bado Mwaka mzima mwendokasi kimyaa
Sasa mkuu kuanzia hapo Veta hadi kona ya kwenda chang;ombe double lanes zitatoka wapi? Pale wameweka single lane na kaukuta kafupi ili kama ikitokea kuna gari imeharibika njiani unapanda kale kaukuta unaendelea na safari. Kaukuta gari yoyote ya chini inapanda,same na njia ya Buguruni. Kumbukeni sio magari tu yatapita hizo njia kuna watembea kwa miguu pia wanahitaji sehemu pana ya kutembea.Sema walitakiwa watatue changamoto ya foleni wakati wa ujenzi kwasababu mwisho wa siku mwendokasi zitaanza na changamoto itarudi.
Mfano mataa ya Veta wameweka single lane yenye barrier kwenda Chang'ombe, zile semi zinazoingia viwandani zikiharibika katikati ya barabara, watumiaji wataimba haleluya. Bora wasingejenga vituo pale mwanzo na kuweka barabara mbili za kwenda na kurudi. Same applies to Buguruni pamoja na eneo kubwa kubaki wameweka single
Kwa niaba ya Ndugu zangu Mbagala,Chamanzi,Toangoma,Mbande na Kongowe tunasema ahsante kwa kashfa zako na Mungu akubariki.Watu wa Mbagala walipaswa wawe sehemu ya mkoa wa Pwani au Lindi. Kitu kinaitwa ustaarabu, uvumilivu, utaratibu, uungwana hawanacho kwenye misamiati yao.
Ni kweli bana muondoke Dar muundiwe mkoa wenu. Mpaka utakuwa pale Mtoni Kwa Aziz AliKwa niaba ya Ndugu zangu Mbagala,Chamanzi,Toangoma,Mbande na Kongowe tunasema ahsante kwa kashfa zako na Mungu akubariki.
Wanazoaga wanaiba tu. Temeke na Mbagala CCM haijawahi kupendwa.Barabara imejengwa kwa Kodi za Wananchi, mmeifunga kusudi ilihali hakuna gari yoyote ya Mwendokasi inayopita! Tunateseka na foleni huku pembeni tunaona Barabara Iko tupu.
Not fair! Huku kwetu kura mnazoaga tu, kwa nini mnatunyanyasa?
Lindi imepakana na Dar? Bangi unayovuta sio nzuri.Watu wa Mbagala walipaswa wawe sehemu ya mkoa wa Pwani au Lindi. Kitu kinaitwa ustaarabu, uvumilivu, utaratibu, uungwana hawanacho kwenye misamiati yao.
Popote mpelekwe alimradi musiwe DarLindi imepakana na Dar? Bangi unayovuta sio nzuri.
Wewe ungekuwa dereva aliyepitia chuo ngejua kiwa bada haijaisha, kuisha kwa barabara kunahusisha pia alama za usalama, hizo alama ndiyo kwanza wameanza kuziweka sasa wewe unataka madereva watumie barabara isiyo na alama za kuongoza magari!Barabara imejengwa kwa Kodi za Wananchi, mmeifunga kusudi ilihali hakuna gari yoyote ya Mwendokasi inayopita! Tunateseka na foleni huku pembeni tunaona Barabara Iko tupu.
Not fair! Huku kwetu kura mnazoaga tu, kwa nini mnatunyanyasa?
Mwanangu mbona mi niko Mlimba MorogoroPopote mpelekwe alimradi musiwe Dar
Mimi Dereva,VIP class 1.Wewe ungekuwa dereva aliyepitia chuo ngejua kiwa bada haijaisha, kuisha kwa barabara kunahusisha pia alama za usalama, hizo alama ndiyo kwanza wameanza kuziweka sasa wewe unataka madereva watumie barabara isiyo na alama za kuongoza magari!