Hakainde
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 2,401
- 2,872
Kwa taarofa za awali huyo Dada yake ndiyo hatari kwa dunia kuliko hata Kim mwenyewe.
Taarofa ni kitu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa taarofa za awali huyo Dada yake ndiyo hatari kwa dunia kuliko hata Kim mwenyewe.
Habari kama hii ilitokea karibuni kama miezi 3-4 iliopita. Lakini baadae ikathibitika kwamba ni uongo!Kim Jong-un 'in coma' with North Korea passing power to sister, diplomat claims
Aaahaa, tafadhali mtoa mada, kamwili kale kilo Mia tatu?!!mtu hasafiri anakula na kulala bure uzito kilo 300
Kwamba yeye ni chuma haumwi? Man marais nao wanaumwa sana tu. Tofauti ni kwamba hizo habari huzisikii sana.hawezi kuumwa kiasi hiko.ni umbea wa mabeberu tu.jamaa ni kijana sana na hana Historia ya kuumwa
... Mwanamke ni mwanamke tu; hawezi kufikia ukatili wa mwanaume propaganda tu hizo.Mbona nasikia dada yake ndo NYANG'AU sana zaidi ya huyo kim
Ni sharti la lazima la kumfanya kuikiri imani ya kweli juu ya Muumba wake, awapo ktk uvuli wa mauti, ni BWANA pekee ndiye ambaye anaweza kumuokoa. Si cheo chake, wauguzi wala walinzi wake, bali ni Mola wake pekee ndiye ambaye anayeweza kumponya.Yule Rais wa rockets na katili duniani yupo ICU kwenye coma madaraka yote amesha kabidhi Kwa Dada. Kweli ma beberu watu wabaya. Taarifa the Mirror
mbona haya yalisemwa mwezi wa tano nadhani...Yule Rais wa rockets na katili duniani yupo ICU kwenye coma madaraka yote amesha kabidhi Kwa Dada. Kweli ma beberu watu wabaya. Taarifa the Mirror
Sigara na pombe kali zishamuunguza figo na maini na mapafuYule Rais wa rockets na katili duniani yupo ICU kwenye coma madaraka yote amesha kabidhi Kwa Dada. Kweli ma beberu watu wabaya. Taarifa the Mirror
Hata uso wake hues unaonekana kabisa Hana siha njemaKwao wana matatizo ya moyo na jamaa ana unene wa kupitilia, babu yake alifariki kwa ugonjwa wa moyo, baba yake vivyo hivyo..
Yule Rais wa rockets na katili duniani yupo ICU kwenye coma madaraka yote amesha kabidhi Kwa Dada. Kweli ma beberu watu wabaya. Taarifa the Mirror
Ila anapanua miguu, mpini unapita na vilio anatoaKwa taarofa za awali huyo Dada yake ndiyo hatari kwa dunia kuliko hata Kim mwenyewe.
Na ndiyo maana anakua na roho mbaya zaidi kuliko kaka yake ambaye hafanywi hivyo.Ila anapanua miguu, mpini unapita na vilio anatoa
Asante kwa mahubiri.Ni sharti la lazima la kumfanya kuikiri imani ya kweli juu ya Muumba wake, awapo ktk uvuli wa mauti, ni BWANA pekee ndiye ambaye anaweza kumuokoa. Si cheo chake, wauguzi wala walinzi wake, bali ni Mola wake pekee ndiye ambaye anayeweza kumponya.
Mkuu wewe sio beberu?hawezi kuumwa kiasi hiko.ni umbea wa mabeberu tu.jamaa ni kijana sana na hana Historia ya kuumwa
Za kuambiwa changanya na zako.Mbona nasikia dada yake ndo NYANG'AU sana zaidi ya huyo kim
Kama ni kweli..Basi KiM alifanya kosa kubwa sana kukutana na TRUMP na kushikana mikono..Unamaanisha wao ndio wamempa ugonjwa mkuu ebu tudadavulie kidogo.
Ha ha ha Amiri Jeshi Mkuu anatoa vilio vya utamu! Anyway, nani amkune kunako huchagua yeye mwenyewe. Hio ndio tofauti.Ila anapanua miguu, mpini unapita na vilio anatoa