witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Bwaaaahaaaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mademu zako wana kazi aseeeWangenisingizia unajua mm macho yangu hayaoni vzr kuna wakat huwa nakosea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwaaaahaaaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mademu zako wana kazi aseeeWangenisingizia unajua mm macho yangu hayaoni vzr kuna wakat huwa nakosea
Bwaaaahaaaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mademu zako wana kazi aseee
Ronaldo Insists Rape Case, On-Field Troubles are a Ruse by Ex-Club Real MadridRonaldo kasema wapi? Weka link hapa. Ninavyojua mimi Ronaldo hataki kuongea chochote kuhusu hili swala, alichofanya ni kutoa statement moja tu kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Shikamoo[emoji2]Rihanna anajua malove dove balaa, halafu sikumdhania namwonaga mibangi na mabapa kwa sana kumbe kitandani ni nuksi[emoji15] [emoji15]
Amber Rose ni gogo sijapata ona unaeza usifikirie na ule mshape!...na ndio maana anamwagwa kila kukicha!
Cerebrities balaa on bed ni:
1. Rihanna
2. Nick Minaj
3.Cardi B
4.Serena Williams
5.Shakira
6. Jennifer Lopez
Magogo ni:
1.Amber Rose
2. Beyonce
3. Serena Gomez
4.Kyle Jenner
5.Kelly Hilson
N.B
Hapo nimejumuisha masista duu na wamama watu wazima coz ndo nilizoziona nikatathmini
embu nipe link mkuuIko ile video mitandaoni kim analiwa na yule dogo ray...anakazwa mbaya kbs
Hapa ni fidia tu watu wanaangalia kuvuna mpunga nothing elseRonaldo ana kesi ya kujibu.
Uahahidi upo huyo mwanamke alipobakwa na Ronaldo alitoa taarifa polisi ya kubakwa na akataja kua ni mwanasoka wa ulaya ila akaogopa kumtaja jina kwa hofu kua itaonekana anatafta umaarufu.
Hata daktari aliempima alikuta shahawa na muingilio wa nguvu(forceful entry). Pia huyo mwanamke hakutaka kuwapa wapelelezi ushirikiano kipindi hicho baada ya wapambe wa Ronaldo kumtishia.
Baada ya huo msala Ronaldo aliajiri watu wanaoitwa fixers au personal reputaion protection specialists ambao walimtishia huyo mwanamke kutokusema chocchote na kumuahidi mpunga.
Ile settlement ya dollar laki 3 na ushee na ile nondisclosure agreement ndio ushahidi tosha kua Ronaldo alibaka.
Trump alimtafuna yule malaya, alipoulizwa akakataa, wanasheria wake wakakataa na kuwaka kama mbogo na kusema huyo malaya kakiuka mkataba, juzi mwanasheria mmoja kakiri Trump alimtafuna yule malaya na kumlipa asiseme chochote(nondisclosure agreement).
Ronaldo ajiandae kuchezea miaka.
Yes baby[emoji23] [emoji23] [emoji23] joooz
Hapana mkuu!...Hivi nyie haijawahi kuwatokea hii
Umeniudhi leo[emoji22] [emoji22] ......mademu wakali mnaringaa sana!Shikamoo[emoji2]
Absolutely yesHapa ni fidia tu watu wanaangalia kuvuna mpunga nothing else
Where are you?[emoji15]Yes baby
Chengaa hiyo..I read t tooI read the article, and I didn't see anywhere Ronaldo mentioned Real Madrid.
AhahahahaDah kweli! Babu zetu na uoga wao wa kindezi ndo umesababisha tubakie Africa hapa kula vumbi tu.laiti wasingemkimbia mzungu wangekubali tu wachukuliwe watumwa huenda wewe sahizi ungekuwa zako Fort Lauderdale mimi ningekuwa zangu Atlanta tunakula maisha tu na mabebe wakali [emoji23][emoji23] sio hawa akina Siwatu Mafirigisi na Rhoda chechezamoto
Nilihisi tu nimekuudhi...!!Umeniudhi leo[emoji22] [emoji22] ......mademu wakali mnaringaa sana!
Me wa kunifanya hivi kweli??[emoji15] [emoji15]
Chengaa hiyo..I read t too
Ewaaaa mkuu!...Kudos ndo hiyo storee nilitaka kuelezea!
Yule mbabu ni mbayaa CR hajui tu anaendekeza kipaji eti[emoji15] [emoji15]
Hahaha, sio mchezo kwa kweli.Dah kweli! Babu zetu na uoga wao wa kindezi ndo umesababisha tubakie Africa hapa kula vumbi tu.laiti wasingemkimbia mzungu wangekubali tu wachukuliwe watumwa huenda wewe sahizi ungekuwa zako Fort Lauderdale mimi ningekuwa zangu Atlanta tunakula maisha tu na mabebe wakali [emoji23][emoji23] sio hawa akina Siwatu Mafirigisi na Rhoda chechezamoto
Hakuna cha ushahidi mkuu hilo ni zengwe kaundiwa tu ili kumstress!
Huyo demu katumika tu...mark my words CR hatafungwa!
ndio wale wale kina lulu...na tununu@Kuoa mwanamke dizaini ya Kim Kama Wema Sepetu lazima upate shida sana