Kim Kardashian na Paris Hilton kuhojiwa sakata la Ronaldo kubaka

Shikamoo[emoji2]
 
Hapa ni fidia tu watu wanaangalia kuvuna mpunga nothing else
 
Ahahahaha
 
Umeniudhi leo[emoji22] [emoji22] ......mademu wakali mnaringaa sana!

Me wa kunifanya hivi kweli??[emoji15] [emoji15]
Nilihisi tu nimekuudhi...!!

Nisamehe bana

Ngoja nitafute jinsi ya kurekebisha makosa yangu.

Usinuneee
 
Chengaa hiyo..I read t too


And all these main stream media anatuletea article imeandikwa na website ya kuitwa Spucknitnews? Ronaldo angesema hivyo hiyo ndio ingekuwa trending story kwa wiki yote hii. Na Real Madrid wangeshatoa tamko tayari
 
Hahaha, sio mchezo kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…