Kimada alivyonifanya nimsahau mke wangu yaliyonikuta Najuta

Usijali itaendelea bila shaka ni stori ndefu kidogo ukiiweka kwa wakati mmoja inaweza kuchosha msoji
Nani kakuambia inachosha... ni vile tu kuna mazezeta mavivu kusoma uzi mrefu.
 
Eh bhana eh mwalimu daily mkononi ana zaidi ya 100k duh dis's so amaizing
 
Motivation Speaker... huu muandiko na mpangilio wa sentensi sio wa darasa la saba kmmk..
 
Ila ulicho sema ni kweli mm nilibahatika kupata mwanamke anae nipenda sana nikamuoa na nilikua sina mbele wala nyuma na mahali nililipiwa na wazee.Mungu si masanja nikahangaika nikafungua biashara ikawa inanipa hela si mchezo yaaan kulaza laki moja ama laki na nusu km faida ni kawaida ..umalaya ukanibeba jamani nilikua na madem tisa yaan zilkua hazipiti siku mbili niko lodge nachakata mbususu.
Ila mke wangu kuja kugundua kuna mchezo aliucheza nikasanuka hapo hapo niliacha umalaya na ndo nikafanya vitu vingi vya maendeleo ndo maana huyu mwanamke namheshimu sana bila yy hata ningekua nimekufa ama sina lolote la maana .
 
Motivation Speaker... huu muandiko na mpangilio wa sentensi sio wa darasa la saba kmmk..
Of course aliyeandika hapa ni mimi, nimenukuu alivyokuwa ananisimulia huyo jamaa aliyetelekeza mke wake na watoto. Sio mimi niliyefanya hivyo
 
So sad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…