Kimada alivyonifanya nimsahau mke wangu yaliyonikuta Najuta

Kimada alivyonifanya nimsahau mke wangu yaliyonikuta Najuta

Story imetungwa hii. Virusi vya ukimwi vya sasa haviwezi angamiza binadamu kwa chini ya miaka 20. Yaani vvu vinahitaji miaka zaidi ya 20 angalau kuangamiza mwili wenye seli dhaifu kabisa duniani!!! Ila nikiangalia mkeo hapo ameishi na virusi kwa chini ya miaka 8
 
Story imetungwa hii. Virusi vya ukimwi vya sasa haviwezi angamiza binadamu kwa chini ya miaka 20. Yaani vvu vinahitaji miaka zaidi ya 20 angalau kuangamiza mwili wenye seli dhaifu kabisa duniani!!! Ila nikiangalia mkeo hapo ameishi na virusi kwa chini ya miaka 8
Unakataa halafu unakubali wewe mweyewe hapo hapo. hizi mambo zinategemea afya yako na lishe unayopata kama uko dhaifu hata mwaka unaeza enda 😀
 
Back
Top Bottom