Kimara-Kibaha highway vs Katy freeway Texas

Hii inaitwa super highway kwanini mmebadilisha iwe parking ya magari.?

Wacha kutoka kwa mada ulisema kibaha itakuwa barabara pana kabisa africa mashariki, ilhali itakuwa ndogo kwa Thika road ambayo ilijengwa 2010.

NB: Hiyo msonagamano ni kwa sababu watu wamenunua magari mengi vile Uchumi wa Kenya unazidi kuimarika. sio thika road pekee hata Mombasa road, ngong road ambazo ni 6 lane highways ziko hivo masaa ya asubuhi na jioni. Hii ndiyo sababu serikali inakarabati reli ya nairobi na kununua treni 11 kutoka spain kuzuia watu kuja na magari yao mpaka CBD. Treni hizi zinatasafirisha abiria milioni tatu kila mwezi Nairobi. Pia ndiyo sababu ya serikali kujenga southern, eastern, northern na western bypass ambazo ni dual carriage highways ( 100 km) za kuzunguka nairobi. Pia inajenga waiyaki way upya kufika mpaka rironi kuwa 6 lane highway, na pia Nairobi expressway(dual carriage elevated highway) ambayo itapaa juu ya mombasa road ,waiyaki way na james gichuru.
 
Poor design... kama.miaka.3 mnasingizia mmenunua magari.. miaka 30 si mtaacha magari barabarani..
 
Poor design... kama.miaka.3 mnasingizia mmenunua magari.. miaka 30 si mtaacha magari barabarani..
says the person who calls a poorly designed dual carriageway the widest road in east africa.

NB: Thika road iko na miaka 10 sasa, kutoka 2010 uchumi wa kenya imepanuka 110%, na watu wana nunua magari pia imeongezeka kwa wingi. Hii si Tanzania nchi ya punda 1,000,000 na magari elfu moja.
 
Labda kama umetembea tz 1960s
 
Unategemea nini kama Waziri alikuwa Magu
 
Walau ungeweka wazo mbadala baada ya kutoridhishwa na kilichofanyika, otherwise na wewe pia ni sehem ya tatizo.
 
Walau ungeweka wazo mbadala baada ya kutoridhishwa na kilichofanyika, otherwise na wewe pia ni sehem ya tatizo.
Duh mie niweke wazo mbadala Leo wakati Kuna thread humu mdau alianzisha tatizo Hilo la mbezi Miaka mitatu nyuma na hakusikilizwa Wakati huo hata barabara yenyewe ilikuwa katika stages za mwanzo kabisa
 
Mbezi palihitajibdarajabla kupita juu Kutoka goba kuvukq malamba
Kilichofanyika mloganzila pale kibamba CCM ndio kilitakiwa kifanyike mbezi
Hii ingefanya Barbara kubwa kuwa huru

Njia panda ya mpigi ndio majanga kabisa hadi breakdowns zinehamishia makazi to pale hapakosagi ajali
 
Kimara kibaha highway

Contractor : Estim

Consultant : Tanroad..

Employer : Tanroad

Project Manager.. Tanroad
Duh mie niweke wazo mbadala Leo wakati Kuna thread humu mdau alianzisha tatizo Hilo la mbezi Miaka mitatu nyuma na hakusikilizwa Wakati huo hata barabara yenyewe ilikuwa katika stages za mwanzo kabisa
 
Njia panda ya mpiji wangefanya underpass kama chini hakuna mabomba..

Goba vs malamba umsema vizuri kabisa..

Naona wanamalizia waweke mataa.[emoji1][emoji1]
 
Njia panda ya mpiji wangefanya underpass kama chini hakuna mabomba..

Goba vs malamba umsema vizuri kabisa..

Naona wanamalizia waweke mataa.[emoji1][emoji1]
Kweli kabisa njiapansa mpiji ilitakiwa underpass maana tayari Kuna gradient kutoka Luis ,
 
Kabisa.. naona consultant wetu tanroad analifanyia kazi.
Kweli kabisa njiapansa mpiji ilitakiwa underpass maana tayari Kuna gradient kutoka Luis ,
 
Why katy freeway in houston. Its part of interstate i-10 freeway. South africa has similar freeways.

 
Its 12 line at its widest .....stupidy
Just stick with your super shithole with 10 line at its widest[emoji706]
 
Kibaha highway cannot even be compared to southern bypass🤣🤣
 
Kwa kuwa elemu umepata ngumbaro na hujui chochote kuhusu design wala hujui chochote kuhusu uhandisi basi wewe tulia utaelewa baadae sana
Na sio kila main road unakuwa na njia za waenda kwa miguu ao wanatengenezewa njia zao mbali kabisa.
 
[emoji1][emoji1][emoji1]
Kwa kuwa elemu umepata ngumbaro na hujui chochote kuhusu design wala hujui chochote kuhusu uhandisi basi wewe tulia utaelewa baadae sana
Na sio kila main road unakuwa na njia za waenda kwa miguu ao wanatengenezewa njia zao mbali kabisa.
 
Kwa kuwa elemu umepata ngumbaro na hujui chochote kuhusu design wala hujui chochote kuhusu uhandisi basi wewe tulia utaelewa baadae sana
Na sio kila main road unakuwa na njia za waenda kwa miguu ao wanatengenezewa njia zao mbali kabisa.
Mkuu sijui chochote kuhusu design na sijui chochote kuhusu uhandisi , lakini nafahamu safety haiwezi kuwa compromised na mode of design, mnataka Wafe wangapu kwa ajali wakati mkimalizia design yenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…