Kimara-Kibaha highway vs Katy freeway Texas

Kimara-Kibaha highway vs Katy freeway Texas

Very true
Kibaha highway kwa elimu yangu ya ngumbaro ilitakiwa iwe na underpass, kwa ajili ya wapita kwa miguu na gari zinazo negotiate kuingia au kutoka njia kubwa.

Huwa naumia sana wasomi wetu, who always brags about how many degrees they have, wanapofanya maamuzi ya ajabu Kama haya.

Kibaha highway itajaa zebra cross na pengine matuta na trafic lights kwa baadhi baadhi ya sehemu, honestly sioni mantiki ya zile round abouts wanazo Jenga Sasa, ni useless ana elsewhere it is not popular.
 
Huu unabii unakaribia kutimia[emoji1787][emoji1787]
Na ndio sababu nikasema ikishakamilika itabidi tu iwekwe matuta, no way
Kikuyu bypass ya Kenya Ina km 28, na hakuna sehemu watu wanavuka kuikatisha japo inapita suburbs za Kibera.
 
Wacha kutoka kwa mada ulisema kibaha itakuwa barabara pana kabisa africa mashariki, ilhali itakuwa ndogo kwa Thika road ambayo ilijengwa 2010.

NB: Hiyo msonagamano ni kwa sababu watu wamenunua magari mengi vile Uchumi wa Kenya unazidi kuimarika. sio thika road pekee hata Mombasa road, ngong road ambazo ni 6 lane highways ziko hivo masaa ya asubuhi na jioni. Hii ndiyo sababu serikali inakarabati reli ya nairobi na kununua treni 11 kutoka spain kuzuia watu kuja na magari yao mpaka CBD. Treni hizi zinatasafirisha abiria milioni tatu kila mwezi Nairobi. Pia ndiyo sababu ya serikali kujenga southern, eastern, northern na western bypass ambazo ni dual carriage highways ( 100 km) za kuzunguka nairobi. Pia inajenga waiyaki way upya kufika mpaka rironi kuwa 6 lane highway, na pia Nairobi expressway(dual carriage elevated highway) ambayo itapaa juu ya mombasa road ,waiyaki way na james gichuru.
Na kuna mtu anataka kulinganisha Nairobi na Dar road network., haiwezekani, ni BRT tu ndio wajigambe nayo.., mengine wafyate.
 
[emoji8][emoji8]
JamiiForums-109727670.jpg
Screenshot_20210731-183525.jpg
 
Kimara kibaha highway

Contractor : Estim

Consultant : Tanroad..

Employer : Tanroad

Project Manager.. Tanroad
Inafurahisha wajenzi na wasimamizi ni Wahandisi wa Tanzania .

Jirani anajengewa na kusimamiwa na wahandisi wa China .😄😀😃
 
Back
Top Bottom