Jamii forum imevamiwa sana now days.
Sasa hapa kuna fact gani zaidi ya kuandika nongwa zako za kipumbavu.
Kufungwa kunauma lakini binafsi naona Simba wanajitafuta bado na ipo siku tutakuja kufikia hizo level ambazo mnatulazimisha kufika 🚮.
Mafanikio ni process kijana..sawa??
Una uhakika!!???Wanajitaguta for about 70 years, hawatajipata na Bwama Yesu atakuwa katunyakua.
Wewe kinaukuuma nini kwa upumbavu wa mwenzio?Jamii forum imevamiwa sana now days.
Sasa hapa kuna fact gani zaidi ya kuandika nongwa zako za kipumbavu.
Kufungwa kunauma lakini binafsi naona Simba wanajitafuta bado na ipo siku tutakuja kufikia hizo level ambazo mnatulazimisha kufika 🚮.
Mafanikio ni process kijana..sawa??
Hakuna jicho la 3 , 4 wala la 5, mmeshindwa kufuzu mmetoka. Ndio uwezo wenu ulipoishiaUna uhakika!!???
Nyie wenyewe mmeshawahi kufikia hiyo stage ya Simba!!....ila kwa kuwa mafanikio ni process ipo siku mtafika regardless itachukua muda gani.
Hongera Simba kwa hichi mlichokifannya,kwa mtu mwenye jicho la tatu bila shaka kuna kitu positive atakuwa amekiona kwa Simba
SawaHakuna jicho la 3 , 4 wala la 5, mmeshindwa kufuzu mmetoka. Ndio uwezo wenu ulipoishia
AahahaaaaPoleni wa Tanzania binafsi nimehuzunishwa pia nmefurahishwa na matokeo
Nadhani Sasa tumeona kuwa Simba mechi za ugenini hasa zile ngumu bado ni weupe sana
Baleke kagusa mipira mitatu ndani ya dk 94
Chama alikuwa ni kanoute ( rafu )
Nini kifanyike
Uongozi umuombe Prof. Nabi awapigishe tuition ya kucheza ugenini Kwa waarabu
Kipigo ni kipigo tu
NB: maza kongeza mshiko 10m goalView attachment 2603336
Lazima niumie kuona mtu mzima kuandika uharo mkubwa namna hii🚮🚮Wewe kinaukuuma nini kwa upumbavu Arwa mwenzio?
Wazee wa Robo FainaliUna uhakika!!???
Nyie wenyewe mmeshawahi kufikia hiyo stage ya Simba!!....ila kwa kuwa mafanikio ni process ipo siku mtafika regardless itachukua muda gani.
Hongera Simba kwa hichi mlichokifannya,kwa mtu mwenye jicho la tatu bila shaka kuna kitu positive atakuwa amekiona kwa Simba
Una uhakika!!???
Nyie wenyewe mmeshawahi kufikia hiyo stage ya Simba!!....ila kwa kuwa mafanikio ni process ipo siku mtafika regardless itachukua muda gani.
Hongera Simba kwa hichi mlichokifannya,kwa mtu mwenye jicho la tatu bila shaka kuna kitu positive atakuwa amekiona kwa Simba
Chomoa mwiko kijana akili zikurudi,Wazee wa Robo Fainali
AaahaaaahaaaWanajitaguta for about 70 years, hawatajipata na Bwama Yesu atakuwa katunyakua.
Umekurukia mdomoni huo uharoo au kakulambisha kama sio wewe kushobokea uharo wa mwenzioLazima niumie kuona mtu mzima kuandika uharo mkubwa namna hii🚮🚮
Kaa vizuri nikuchomoe huo mwiko aliokuzamisha WydadChomoa mwiko kijana akili zikurudi,
If you're target is to win,why mpo federation....means mlifeli kule si ndio maana yake!!??We do not want positivity, we want to win
Mkuu hatukatai .....lkn hizo process mmeanza lini????Jamii forum imevamiwa sana now days.
Sasa hapa kuna fact gani zaidi ya kuandika nongwa zako za kipumbavu.
Kufungwa kunauma lakini binafsi naona Simba wanajitafuta bado na ipo siku tutakuja kufikia hizo level ambazo mnatulazimisha kufika [emoji706].
Mafanikio ni process kijana..sawa??