Kimataifa Simba ni Majimaji mtupu

Shida ni kuwa mnakele sana

Wiki iliyopita Ahmed ally aliongea redion kuwa Target yao siyo Azam confederation cup ambayo inachezwa na timu ndogo kama kina ihefu

Imagine officer mkubwa anaongea hivyo
 
Yes, mafanikio ni ni proces. LAKINI PROCESS HIYO MAKOLO MMEISHINDWA
 
Bado soka la bongo ni tia maji tia maji na tuna mambo mengi ya kufanya transformation sio kwa simba sio yanga wala mtibwa kiufupi soka la bongo kiujumla linahitaji mabadiliko makubwa ili tufike kule qenzetu walipo
 
Hakuna cha jicho la tatu au la kumi, Simba sc wamekufa hakuna kulemba hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…