Nini?Sawa
Leta relevant and admissible evidence
Mmecheza na timu za aina Gani, ilo nalo usilisahau kuliweka kichwani mwako, Timu mlizocheza nazo ndo zile zilizokuwa na matatizo lukuki Tena mkapangiwa mfululizo ili mpate kamserereko!Mechi mbili goli 7 na hatujaruhusu goli.
Iyo ndiyo tofauti kati ya quality na lundo la wachezaji, hapo makocha wa timu tofauti wamepembua pumba na mchele wakatoka na jibu Moja ambalo ni UBORA!... [emoji599] 𝗖𝗢𝗡𝗙𝗜𝗥𝗠𝗘𝗗
Wachezaji wafuatao wa klabu za Simba na Yanga wameitwa kwenye timu zao za Taifa.
Young Africans Sports Club :
➜ Djigui Diarra [emoji1159]
➜ Aboutwalib Mshery [emoji1241]
➜ Stephane Aziz Ki [emoji1059]
➜ Dickson Job [emoji1241]
➜ Duke Abuya [emoji1139]
➜ Ibrahim Bacca [emoji1241]
➜ Bakari Mwamnyeto [emoji1241]
➜ Khalid Aucho [emoji1254]
➜ Nickson Kibabage [emoji1241]
➜ Prince Dube [emoji1269]
➜ Mudathir Yahya [emoji1241]
➜ Clement Mzize [emoji1241]
Simba sports Club :
➜ Moussa Canara [emoji1119]
➜ Ally Salim [emoji1241]
➜ Steven Mukwala [emoji1254]
➜ Zimbwe Jr [emoji1241]
➜ Valentine Nouma [emoji1059]
➜ Edwin Balua [emoji1241]
[emoji3482] Zambia bado hawajatoa kikosi.View attachment 3081177
Zina point ngapi hizi timu na hizo timu kubwa zisizo na matatizo unazozisema zina point ngapi tukizifunga?Mmecheza na timu za aina Gani, ilo nalo usilisahau kuliweka kichwani mwako, Timu mlizocheza nazo ndo zile zilizokuwa na matatizo lukuki Tena mkapangiwa mfululizo ili mpate kamserereko!
Yanga wako 15 bro.... [emoji599] 𝗖𝗢𝗡𝗙𝗜𝗥𝗠𝗘𝗗
Wachezaji wafuatao wa klabu za Simba na Yanga wameitwa kwenye timu zao za Taifa.
Young Africans Sports Club :
➜ Djigui Diarra [emoji1159]
➜ Aboutwalib Mshery [emoji1241]
➜ Stephane Aziz Ki [emoji1059]
➜ Dickson Job [emoji1241]
➜ Duke Abuya [emoji1139]
➜ Ibrahim Bacca [emoji1241]
➜ Bakari Mwamnyeto [emoji1241]
➜ Khalid Aucho [emoji1254]
➜ Nickson Kibabage [emoji1241]
➜ Prince Dube [emoji1269]
➜ Mudathir Yahya [emoji1241]
➜ Clement Mzize [emoji1241]
Simba sports Club :
➜ Moussa Canara [emoji1119]
➜ Ally Salim [emoji1241]
➜ Steven Mukwala [emoji1254]
➜ Zimbwe Jr [emoji1241]
➜ Valentine Nouma [emoji1059]
➜ Edwin Balua [emoji1241]
[emoji3482] Zambia bado hawajatoa kikosi.View attachment 3081177
Ni heri Simba wameitwa wachache maana timu za taifa zinasababisha sana majeraha kwa wachezaji. Kapombe alipotea kwa muda mrefu baada ya kuumia akiwa Stars, na Manula hadi leo anapambana kurudi baada ya kuumia akiwa na Stars. Inonga pia aliumia akiwa DR Congo. Kunawatu watarudi na pancha kibao... [emoji599] 𝗖𝗢𝗡𝗙𝗜𝗥𝗠𝗘𝗗
Wachezaji wafuatao wa klabu za Simba na Yanga wameitwa kwenye timu zao za Taifa.
Young Africans Sports Club :
➜ Djigui Diarra [emoji1159]
➜ Aboutwalib Mshery [emoji1241]
➜ Stephane Aziz Ki [emoji1059]
➜ Dickson Job [emoji1241]
➜ Duke Abuya [emoji1139]
➜ Ibrahim Bacca [emoji1241]
➜ Bakari Mwamnyeto [emoji1241]
➜ Khalid Aucho [emoji1254]
➜ Nickson Kibabage [emoji1241]
➜ Prince Dube [emoji1269]
➜ Mudathir Yahya [emoji1241]
➜ Clement Mzize [emoji1241]
Simba sports Club :
➜ Moussa Canara [emoji1119]
➜ Ally Salim [emoji1241]
➜ Steven Mukwala [emoji1254]
➜ Zimbwe Jr [emoji1241]
➜ Valentine Nouma [emoji1059]
➜ Edwin Balua [emoji1241]
[emoji3482] Zambia bado hawajatoa kikosi.
[emoji32][emoji32]Ni heri Simba wameitwa wachache maana timu za taifa zinasababisha sana majeraha kwa wachezaji. Kapombe alipotea kwa muda mrefu baada ya kuumia akiwa Stars, na Manula hadi leo anapambana kurudi baada ya kuumia akiwa na Stars. Inonga pia aliumia akiwa DR Congo. Kunawatu watarudi na pancha kibao
Kipi kiarabu hapo mkuu😂[emoji32][emoji32]
Timu inayoshiriki ligi kuu maana yake inajiweza ndio maana inashiriki we jamaa vipi?Mmecheza na timu za aina Gani, ilo nalo usilisahau kuliweka kichwani mwako, Timu mlizocheza nazo ndo zile zilizokuwa na matatizo lukuki Tena mkapangiwa mfululizo ili mpate kamserereko!
kwasababu waliandaliwa vizuri na simbaMbna Sasa wachezaji wakifika yu YANGA....wanaanza itwa national team???