Kimataifa: Yanga wachezaji 12 waitwa Afcon, Simba 6 tu

Kimataifa: Yanga wachezaji 12 waitwa Afcon, Simba 6 tu

... [emoji599] 𝗖𝗢𝗡𝗙𝗜𝗥𝗠𝗘𝗗

Wachezaji wafuatao wa klabu za Simba na Yanga wameitwa kwenye timu zao za Taifa.

Young Africans Sports Club :

➜ Djigui Diarra [emoji1159]
➜ Aboutwalib Mshery [emoji1241]
➜ Stephane Aziz Ki [emoji1059]
➜ Dickson Job [emoji1241]
➜ Duke Abuya [emoji1139]
➜ Ibrahim Bacca [emoji1241]
➜ Bakari Mwamnyeto [emoji1241]
➜ Khalid Aucho [emoji1254]
➜ Nickson Kibabage [emoji1241]
➜ Prince Dube [emoji1269]
➜ Mudathir Yahya [emoji1241]
➜ Clement Mzize [emoji1241]

Simba sports Club :

➜ Moussa Canara [emoji1119]
➜ Ally Salim [emoji1241]
➜ Steven Mukwala [emoji1254]
➜ Zimbwe Jr [emoji1241]
➜ Valentine Nouma [emoji1059]
➜ Edwin Balua [emoji1241]

[emoji3482] Zambia bado hawajatoa kikosi.View attachment 3081177
Iyo ndiyo tofauti kati ya quality na lundo la wachezaji, hapo makocha wa timu tofauti wamepembua pumba na mchele wakatoka na jibu Moja ambalo ni UBORA!
 
... [emoji599] 𝗖𝗢𝗡𝗙𝗜𝗥𝗠𝗘𝗗

Wachezaji wafuatao wa klabu za Simba na Yanga wameitwa kwenye timu zao za Taifa.

Young Africans Sports Club :

➜ Djigui Diarra [emoji1159]
➜ Aboutwalib Mshery [emoji1241]
➜ Stephane Aziz Ki [emoji1059]
➜ Dickson Job [emoji1241]
➜ Duke Abuya [emoji1139]
➜ Ibrahim Bacca [emoji1241]
➜ Bakari Mwamnyeto [emoji1241]
➜ Khalid Aucho [emoji1254]
➜ Nickson Kibabage [emoji1241]
➜ Prince Dube [emoji1269]
➜ Mudathir Yahya [emoji1241]
➜ Clement Mzize [emoji1241]

Simba sports Club :

➜ Moussa Canara [emoji1119]
➜ Ally Salim [emoji1241]
➜ Steven Mukwala [emoji1254]
➜ Zimbwe Jr [emoji1241]
➜ Valentine Nouma [emoji1059]
➜ Edwin Balua [emoji1241]

[emoji3482] Zambia bado hawajatoa kikosi.View attachment 3081177
Yanga wako 15 bro.
 
... [emoji599] 𝗖𝗢𝗡𝗙𝗜𝗥𝗠𝗘𝗗

Wachezaji wafuatao wa klabu za Simba na Yanga wameitwa kwenye timu zao za Taifa.

Young Africans Sports Club :

➜ Djigui Diarra [emoji1159]
➜ Aboutwalib Mshery [emoji1241]
➜ Stephane Aziz Ki [emoji1059]
➜ Dickson Job [emoji1241]
➜ Duke Abuya [emoji1139]
➜ Ibrahim Bacca [emoji1241]
➜ Bakari Mwamnyeto [emoji1241]
➜ Khalid Aucho [emoji1254]
➜ Nickson Kibabage [emoji1241]
➜ Prince Dube [emoji1269]
➜ Mudathir Yahya [emoji1241]
➜ Clement Mzize [emoji1241]

Simba sports Club :

➜ Moussa Canara [emoji1119]
➜ Ally Salim [emoji1241]
➜ Steven Mukwala [emoji1254]
➜ Zimbwe Jr [emoji1241]
➜ Valentine Nouma [emoji1059]
➜ Edwin Balua [emoji1241]

[emoji3482] Zambia bado hawajatoa kikosi.
Ni heri Simba wameitwa wachache maana timu za taifa zinasababisha sana majeraha kwa wachezaji. Kapombe alipotea kwa muda mrefu baada ya kuumia akiwa Stars, na Manula hadi leo anapambana kurudi baada ya kuumia akiwa na Stars. Inonga pia aliumia akiwa DR Congo. Kunawatu watarudi na pancha kibao
 
Ni heri Simba wameitwa wachache maana timu za taifa zinasababisha sana majeraha kwa wachezaji. Kapombe alipotea kwa muda mrefu baada ya kuumia akiwa Stars, na Manula hadi leo anapambana kurudi baada ya kuumia akiwa na Stars. Inonga pia aliumia akiwa DR Congo. Kunawatu watarudi na pancha kibao
[emoji32][emoji32]
 
Mimi nashukuru sana Simba kuitwa wachache timu za Taifa. Mwaka jana tulikuwa na mechi mbaya dhidi ya Wydad Casablanca, wakati huo wachezaji wametawanyika kwenye mataifa yao mbalimbali kutumikia timu zao. Yaani ilibidi wawe wanaunganisha juu kwa juu wakaungane na wenzao ili kukutana Morocco. Kwa miundombinu ya Afrika, mchezaji akisafiri kuitumikia timu yake ya Taifa inabidi uwe unaombea mechi ya klabu yako inayofuata isiwe dhidi ya timu ngumu, au isiwe na umuhimu
 
Back
Top Bottom