Kimboka, Sudan, Sokota cha mtoto, hata Sodoma na Gomorrah yenyewe haifui dafu kwa mtaa huu

Watu wanataka location wakafanye utafiti🀣unamkuta hubby humu anaulizia location🀣🀣
🀣anyways kaka umeongea la maana ila niliwahi kuskia enzi hizo kuna kiongozi aliwahi kusema ukiondoa hao ubakaji utaongezeka. Sijui ni kweli
 
Devis kona maeneo gan pale mbona Habari haijitoshelezi 😭
 
itabidi mwezi huu wa 12 nije dar kama siku 5 hivi
 
Unajua ili serikali iweze kufanyia kazi swala kama hili inabidi utoe location vizuri. Nipo round about hapa deviscona nielekee wapi ili nifike na mjumbe [emoji23]
Panda gar njoo Barabara ya mwinyi yombo nasikia Napo pamewaka syo kitoto Bei elekez tsh 500

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mtoa mada inaelekea hata hiyo mitaa sio mwenyeji hapo devis corner zaidi kuna baa maaruf ya Mpo Africa, sana sana hapo wale mabahasha wanaopenda wanaume wenzao ndio chimbo lao hapo kuna mashoga kama wotee usiwachuze wenzako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…